Ngahekapahi
JF-Expert Member
- May 8, 2012
- 553
- 367
Vitu vingine vinaitwa security details, huwa havisemwi!. Haya ni matokeo ya kufutwa kwa JKT, hivyo watu hawana tena uzalendo hati kutoa inje siri za kiusalama!.Duuh ndani ya ukumbi wa bunge vioo ni bullet proof. Hii ni hatari.
Kwani ndugu Pasco hiyo ni kwa mujibu ya taarifa ya habari ya ITV