Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 44
Go go go go.... Kila ukumbi hufanya hivyo hivyo!!!!
mimi nina mpango wa kufunga harusi mwezi wa sita miongoni mwa kumbi ninazozifikiria ni landmark kutokana na unafikika kirahisi, lakini nimepata habari kwamba jamaa wana huduma mbovu sana kama vile kuwa na wahidumu wachache, wizi wa vinywaji na vyakula vya muda mrefu. wadau kuna mwenye experience?
Ze Marcopolo ni ukumbi gani hauna jina? Unapotaka kumwelekeza mtu mahali anagalu taja jina lake. Ni vyema ufafanue zaidi. Wadau wanaweza kuwa wengi zaidi.
Ze Marcopolo ni ukumbi gani hauna jina? Unapotaka kumwelekeza mtu mahali anagalu taja jina lake. Ni vyema ufafanue zaidi. Wadau wanaweza kuwa wengi zaidi.
<br />Hii nayo biashara?
<br /><br /><br />
<br /><br />
hi ni thread ya 2009 mwanadada..whr av u been?