📌UKUMBUSHO WA LEO

📌UKUMBUSHO WA LEO

650

Member
Joined
Jun 6, 2024
Posts
87
Reaction score
207
Alitokea mzee mmoja na mwanae walikuwa wanasafir kwa kutumia punda so wakaamua kupanda wote kwenye huyo punda.
Wakiwa njian wakakutan na kundi la watu likawaambia watu gan nyie msiokuwa na huruma yaan nyote wawil mnapanda kwenye punda mmoja .
So mzee akaona isiwe kec wala nn akashuka akamwacha mwanae juu ya punda.
Wakakutana na kund la pili wakaanza kumsema yule janja yaan mtoto gan ww usiye na huruma unamwacha mzee wako anatembea hal yakuwa ww umekaa juu ya punda unastareh,
Dogo akasema isiwe kes akashuka mzee akapanda, mbele wakakutana na kund la tatu ambalo nao wakaanza kumcharazia yule mzee kwamba, baba gan asiyena huruma yaan unamwacha mwanao anatembea ww umestarehe.
So wakasema isiw kec wote wakawa wanatembea huku punda wamemshika wakakutana na kund la nne wakawaambia hakuna watu wajinga kama nyinyi, yaan mnapunda alaf mnatembea kwa miguu.

Mafunzo: Focus na kile ulichokipanga kukifanya na sio kila ushaur ni wakuufanyia kazi, mwengine ni wakuusikiliza na kuachana nao.
 
ohoo! kumbe basi yule mshangazi wangu sitomuacha kamwe hata kama huwa tunadundana mpk kufikishana kwenye vyombo mbalimbali,sitaki kusikiliza maneno ya wambea na wanafki nina focus na mshangazi wangu.
 
ohoo! kumbe basi yule mshangazi wangu sitomuacha kamwe hata kama huwa tunadundana mpk kufikishana kwenye vyombo mbalimbali,sitaki kusikiliza maneno ya wambea na wanafki nina focus na mshangazi wangu.
😂😂😂😂😂😂 Wapenda mashangazi tupo bright sana kichwani aiseee
 
Sasa kwa sasa punda hakuna watu wanapanda boda..

Ebu kwenye punda weka boda boda mkuu 😂 😂
 
ohoo! kumbe basi yule mshangazi wangu sitomuacha kamwe hata kama huwa tunadundana mpk kufikishana kwenye vyombo mbalimbali,sitaki kusikiliza maneno ya wambea na wanafki nina focus na mshangazi wangu.
Weka akiba ya maneno mwamba una uzi wa ku crush kiumbe huko unaendelea 😂😂😂
 
ohoo! kumbe basi yule mshangazi wangu sitomuacha kamwe hata kama huwa tunadundana mpk kufikishana kwenye vyombo mbalimbali,sitaki kusikiliza maneno ya wambea na wanafki nina focus na mshangazi wangu.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom