Ukurasa wa TLS X umesema zoezi la kupiga kura limeisha, upande mwingine wanasema wanasubiri karatasi za kupiga kura ziongezwe, ukweli ni upi?

Ukurasa wa TLS X umesema zoezi la kupiga kura limeisha, upande mwingine wanasema wanasubiri karatasi za kupiga kura ziongezwe, ukweli ni upi?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu kwema?​

Ukurasa wa X wa Tanganyika Law Society wameweka tangazo kuwa zoezi la kupiga kura limekamilika watu wanasubiri matokeo sawa.

Pia soma: Uchaguzi wa Rais TLS: Karatasi za kupigia kura zimeisha, mawakili wanasubiri karatasi nyingine ziletwe ili zoezi liendelee

Screenshot 2024-08-02 124229.png

Wakati upande mwingine unasema karatasi za kupigia kura ziliisha tangu saa tano, na hivyo kulazimika mawakili kusubiri karatasi nyingine zichapiswe ili zoezi la kupiga kura liendelee!

Screenshot 2024-08-02 124245.png

Hiyo hapo juu ni moja ya comment kutoka X ikikubali kuwa ni kweli karatasi za kupigia kura zimeisha.

Je, ukweli ni upi?

Pia soma:
Uchaguzi wa Rais TLS: Nani kuibuka kidedea Urais TLS 2024?

Hii mbona inaenda kuwa kama chaguzi kuu za Rais wa Tanzania na wanachama wa CCM kukamatwa na maboksi ya kura zilizopigwa?

Wacha tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini!
 
Kwamba waliotakiwa kupiga kura hawakuwa registred before? Sasa kama wanaojiita wanasheria wasomi wanaendesha chaguzi zao ki layman sisi darasa la nne C tufanyeje?
 
Back
Top Bottom