Wakuu habarini
Ninatatizao la ukuta wangu mara kwa mara unabanduka banduka rangi,
Kama picha inavyo iyona hapo, tatizo liliianza kwamba niliinunuwa nyumba tayari ishapigwa plasta, , nikaamua kupiga skiming na baadae nikapiga rangi,baadae kuna mtu aliniambia kwamba usingepiga skiming ungepiga rangi moja kwa moja , kwni ukuta wako umepigwa plaster ndio maana rangi haikai je wa kuu kwa hali hiyo nini cha kufanya kila baada ya muda rangi inabaduka nini cha kufanya wakuu naomba msaada shukran
Ninatatizao la ukuta wangu mara kwa mara unabanduka banduka rangi,
Kama picha inavyo iyona hapo, tatizo liliianza kwamba niliinunuwa nyumba tayari ishapigwa plasta, , nikaamua kupiga skiming na baadae nikapiga rangi,baadae kuna mtu aliniambia kwamba usingepiga skiming ungepiga rangi moja kwa moja , kwni ukuta wako umepigwa plaster ndio maana rangi haikai je wa kuu kwa hali hiyo nini cha kufanya kila baada ya muda rangi inabaduka nini cha kufanya wakuu naomba msaada shukran