Ukuta wa Ujerumani

Ukuta wa Ujerumani

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
Wakuu

Miaka ya nyuma(si zamani sana) nchi ya Ujerumani ilikua imejengwa ukuta uliokuwa ukiigawa katika pande mbili yaani Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi, na mara baada ya kujenga ukuta huu zilikua ni nchi mbili tofauti kabisa kila moja ikiwa na mfumo wake wa utawala.

Miaka ya hivi karibuni ukuta huu ulibomolewa na kuifanya Ujerumani kurudi tena kuwa moja baada ya miaka mingi ya mgawanyiko wake.

Kuna mtu yeyote anaweza kufahamu undani wa kwa nini ukuta huu ulijengwa??

Mfumo wa utawala wa pande hizi mbili baada ya kujenga ukuta ulikuaje??

Siasa za Ulaya na Marekani kwa wakati huo ziathiriwa vipi na utengeno huu hasa ukizingatia Ujerumani ya Hitler ilikua na uadui
mkubwa sana na mataifa Mengi ya Ulaya na Marekani hasa Uingereza na Ufaransa??

Nini kilipelekea ukuta huu kubomolewa na kuirudisha Ujerumani kuwa moja bila kuwepo mikwaruzano yoyote ya kiutawala na kimadaraka mpaka sasa??

Nani aliyekuwa nyuma ya pazia ya mgawanyiko huu wa Ujerumani.

Nawasilisha

cc The Emperor, Udadisi, TIGOPESA
 
Ndio ilikuwaga inaitwa Berlin Treaty, sijui darasa la tano au Germany Big wallpaper?
 
Wakuu

Miaka ya nyuma(si zamani sana) nchi ya Ujerumani ilikua imejengwa ukuta uliokuwa ukiigawa katika pande mbili yaani Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi, na mara baada ya kujenga ukuta huu zilikua ni nchi mbili tofauti kabisa kila moja ikiwa na mfumo wake wa utawala.

Miaka ya hivi karibuni ukuta huu ulibomolewa na kuifanya Ujerumani kurudi tena kuwa moja baada ya miaka mingi ya mgawanyiko wake.

Kuna mtu yeyote anaweza kufahamu undani wa kwa nini ukuta huu ulijengwa??

Mfumo wa utawala wa pande hizi mbili baada ya kujenga ukuta ulikuaje??

Nini kilipelekea ukuta huu kubomolewa na kuirudisha Ujerumani kuwa moja bila kuwepo mikwaruzano yoyote ya kiutawala na kimadaraka mpaka sasa??

Nani aliyekuwa nyuma ya pazia ya mgawanyiko huu wa Ujerumani.

Nawasilisha

cc The Emperor, Udadisi, TIGOPESA

Mshikaji Si Ugoogle Tu!

 
Ukuta wa Berlin...ulivuma sana kipindi ile, nakumbuka ulivunjwa mwaka 1990
 

Ukutawa Berlin (Kijerumani Berliner Mauer) ulitenganisha sehemu mbiliza jiji la Berlin (Ujerumani) kuanzia 13 Agosti1961 hadi 9 Novemba1989.

Mashariki ya Berlin ilikuwasehemu ya nchi ya kikomunisti
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani na magharibi ya jiji ilikuwa chini yamamlaka ya Marekani, Uingereza na Ufaransa. Ukuta huu ulikuwa na urefu wa kilomita45.3 ukiwa sehemu ya mpaka kati ya madola mawili ya Ujerumani yaliyokuwepo kuanzia1949 hadi 1990. Ukuta wa Berlin ulikuwa mfanouliojulikana zaidi wa “pazia la chuma” katika Ulaya lililotenganisha nchi zakikomunisti za Ulaya mashariki na nchi za Ulaya magharibi. Takriban watu 200waliuawa walipojaribu kuvuka ukuta kutoka mashariki kwenda magharibi.
kuhusunani alibomoa ukuta.
1.
Ukoministi ulipoanza kuporomoka UlayaMashariki, ukuta huo ulibomolewa na watu wa mji wa Berlin, mwaka wa 1989.

kuhusu nani aliyekuwa nyuma ya pazia yamgawanyiko huu wa Wajerumani.
2.Chanzo cha ukuta ulikuwa ugawaji wa jiji la Berlin baada ya
Vita Kuu ya Pili ya Dunia tangu 1945. Nchi washindi ziliamuakugawa Ujerumani yote wakaanzisha kanda nne zilizotawaliwa na Umoja wa Kisovyeti, Marekani, Uingereza na Ufaransa. Berlinilikuwa ndani ya kanda ya kisoyeti lakini ikiwa mji mkuu wa Ujerumaniilitangazwa kuwa mkoa wa pekee ikagawiwa pia katika kanda nne za washindi.Tangu 1946 washindi walianza kutoelewana na kipindi cha vita baridi kilianza ambako nchi za magharibi (Marekani,Uingereza, Ufaransa) zilisimama dhidi nchi za mashariki zilizoongozwa na Umojawa Kisovyeti.
 

Ukutawa Berlin (Kijerumani Berliner Mauer) ulitenganisha sehemu mbiliza jiji la Berlin (Ujerumani) kuanzia 13 Agosti1961 hadi 9 Novemba1989.

Mashariki ya Berlin ilikuwasehemu ya nchi ya kikomunisti
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani na magharibi ya jiji ilikuwa chini yamamlaka ya Marekani, Uingereza na Ufaransa. Ukuta huu ulikuwa na urefu wa kilomita45.3 ukiwa sehemu ya mpaka kati ya madola mawili ya Ujerumani yaliyokuwepo kuanzia1949 hadi 1990. Ukuta wa Berlin ulikuwa mfanouliojulikana zaidi wa "pazia la chuma" katika Ulaya lililotenganisha nchi zakikomunisti za Ulaya mashariki na nchi za Ulaya magharibi. Takriban watu 200waliuawa walipojaribu kuvuka ukuta kutoka mashariki kwenda magharibi.
kuhusunani alibomoa ukuta.
1.
Ukoministi ulipoanza kuporomoka UlayaMashariki, ukuta huo ulibomolewa na watu wa mji wa Berlin, mwaka wa 1989.

kuhusu nani aliyekuwa nyuma ya pazia yamgawanyiko huu wa Wajerumani.
2.Chanzo cha ukuta ulikuwa ugawaji wa jiji la Berlin baada ya
Vita Kuu ya Pili ya Dunia tangu 1945. Nchi washindi ziliamuakugawa Ujerumani yote wakaanzisha kanda nne zilizotawaliwa na Umoja wa Kisovyeti, Marekani, Uingereza na Ufaransa. Berlinilikuwa ndani ya kanda ya kisoyeti lakini ikiwa mji mkuu wa Ujerumaniilitangazwa kuwa mkoa wa pekee ikagawiwa pia katika kanda nne za washindi.Tangu 1946 washindi walianza kutoelewana na kipindi cha vita baridi kilianza ambako nchi za magharibi (Marekani,Uingereza, Ufaransa) zilisimama dhidi nchi za mashariki zilizoongozwa na Umojawa Kisovyeti.

Shukrani sana mkuu kwa nondo hizi, Umenifungua mengi.

Kwa kipindi chote hicho cha ugawanyaji wa Ujerumani katika kanda nne ina maana Ujerumani haikua na Rais au kiongozi mkuu wa Ujerumani yote??

Ina maana Kila nchi iliyokuwa inamiliki uknda ilikua inateua kiongozi wake kama mfumo wa kikoloni na magavana wa zamani huku kwetu

Sorry kwa maswali mengi
 
1961 serikali ya mashariki ikiongozwa na Walter Ulbricht (30 June 1893 – 1 August 1973) iliona ni lazima kuzuia wakimbizi wengi kwenda Berlin Magharibi.
Hapa walikata shauri ya kutenganisha sehemu mbili za jiji kwa njia ya ukuta na fensi. Walipata kibali cha uongozi wa Umoja wa Kisovyeti wakaandaa akiba za matofali, saruji na waya ya miibaUsiku wa tar. 12 kwenda 13 Agosti 1961 wanajeshi na polisi maelfu walitumwa kusimama mpakani mjini Berlin walipoangalia wafanyakazi walioanza kujenga ukuta na kufunga mpaka ndani ya jiji. Madirisha na milango ya nyumba zilizokaa mpakani moja kwa moja yalifungwa pia na wakazi walipaswa kutumia milango ya nyuma. Usafiri kwa mabasi na treni kati ya pande mbili za jiji ukasimamishwa vilevile.

Ukuta uliendelea kujengwa hata sehemu za nje ya Berlin ya Magharibi ambako jiji lakutana na mashambani ama kwa kujenga fensi kubwa au ukuta pia.

Ni kweli Kila nchi iliyokuwa inamiliki uknda ilikua inateua kiongozi wake kama mfumo wa kikoloni na magavana wa zamani huku kwetu
 
Sina uhakika kama mleta mada alitaka kujua kama baada ya nchi hizi mbili kuachana na uhasama wao na kuungana kwa sasa zinatumia mfumo gani wa muungano!
Naomba kama kuna mwenye uelewa wa hili atujuze pia ili tujue kama ni serikali mbili au nako kuna 'mvaa koti'.

cc: TIGOPESA, asigwa
 
Sina uhakika kama mleta mada alitaka kujua kama baada ya nchi hizi mbili kuachana na uhasama wao na kuungana kwa sasa zinatumia mfumo gani wa muungano!
Naomba kama kuna mwenye uelewa wa hili atujuze pia ili tujue kama ni serikali mbili au nako kuna 'mvaa koti'.
Asante mkuu kwa kuliona hil
cc: TIGOPESA, asigwa

Swali zuri sana hili, ngoja waje wajuvi watufafanulie hapa
 
After the second world war came the campaign known as the de-nazification of Germany which was under the German Third Reich,like it happened during the Treaty of Versailles of 1919 Germany was balkanized into four regions which were under The USA,FRANCE,GREAT BRITAIN and USSR,this was dome to ensure that the Nazis won't get a chance to resume their hostile campaign against the world.Shada ilianza na mataifa haya makubwa kuwa over ambitious ambapo Marekani alitaka kuona Europe iko dis united ili aweze kuwa na the upper hand in the Economy,Remember at that time the one who controlled Europe could also have the power to control their colonies in the world while upande wa pili the Soviets knew that na wenyewe walikuwa wanajiandaa kuitawala Europe kiuchumi ili wapate access kwenye makoloni yake. Technically Russia and the USA were not active participants in imperialism kwa hiyo hawakuwa na makoloni Asia wala Africa therefore they wanted to use this Chance to compensate their economies for not colonizing.This was the great factor which fired up the cold war,Stalin wanted to control all of German and then spread communism agenda which would bring about revolution all over Europe because he believed that that European economies cannot stand communism therefore they will give in to Russia.kwa bahati mbaya wamareakani wakajua mchezo wakapeleka troops berlin ambako Russia ilikuwa naye amedeploy,people thought the next world was about to start lakini the West wakamuachia Stalin East Germany yote therefore two new countries East and West german were formed,ugomvi ukaanza tena ambapo kiongozi wa Urusi Krushev alipoamua kupiga mkwara mataifa ya magharibi kama USA,ufaransa na Uingereza watoke ujerumani kwasababu aliogopa kwamba military activities za west zimekuwa kubwa kwenye mipaka yao.Hii falsafa ya kuyagawa mataifa ya ulaya kutokana na milengo ya kisiasa kama ubepari na ukomunisti iliitwa THE IRON CURTAIN ambapo waziri mkuu wa Uingereza winston Churchhill alitoa speech maarufu kwa wanachuo wake kwamba OUR COMRADE HAVE BETRAYED US hapa ailikuwa akiimanisha Urusi.In 1960 after the inauguration of President JF kennedy Krushev thought he could easily bully the guy he the built a wall stretching all the way half of the continent na hii ilitokea pale ambapo immigration rate ya watu kutoka ujerumani ya mashariki hadi magharibi ilikuwa kubwa so vijana walikuwa wakirudi wanakuwa na Western type of ideology therefore this did not please the members of the Russian Politbur. The wall was built and it was covered with electric wire.Many people got separated from their families and while here in Russia something known as the Concord agreement was already signed,this agreement prohibited youths from going outside of the country for lesser issues kama kutafuta elimu.Krushchev even boasted that BERLIN IS THE TESTACLE OF THE WEST THEREFORE IF I WANT THE WEST TO CRY THEN I JUST SQUEEZE BERLIN and its true after building the wall Krushchev aggrandizement policy was Castigated in the West as the continuation of THE RED TERROR since the Soviets were creating many allies such as China,N korea and Cuba in the Americas.The wall lasted for long time until when it was torn apart in 1989 when President Ronald Raegan went to Moscow to pursuade President Gorbachev to break the wall,nakumbuka kwenye THE PRAVDA miaka ile ambalo lilikuwa ni gazzeti propaganda machine ya THE COMMUNIST PARTY OF THE SOVIET UNION ilikuwa ndiyo ilikuwa subject to criticism,nakumbuka maneno ya Reagan aliposema TEAR DOWN THIS WALL GORBACHEV,TEAR DOWN THIS WALL baada ya hapo ukuta ulivunjwa it was violent in the streets nakumbuka watu hasa ndugu walilia saana baada ya kupotezana kwa zaidi ya miaka ishirini.Manya attempts to escape the wall were made with the result of loss of many lives japo warusi hawataki kukubali hili mpaka leo.In the West Mikhail Gorbachev was viewed as a hero and by the year 1989 literally the cold war came to an end since the US and USSR started to view one another as enemies.Unfortunately on the side of the communist Gorbachevs Acts were viewed to be treacherous na hata ambapo Rais Reagan alipoahidi kumsaidia kwa hali zote Gorbachev warusi walijaribu kumuua,kuna miaka Reagan alimake headlines baada ya Speech yake ya THE EVIL EMPIRE ambapo iligundulika Urusi alijenga ghala kubwa la sana la silaha duniani enough to take on both US and her allies hii ilikuwa ni plan ya Yuri Andropov Rais kabla ya Gorbachev.kuna miaka assassination attempt ilifanywa against Raegan ambapo alipigwa risasi kufuani ila akapona haya yote hayajulikani whether its CIA or THE KGB japo wengi wanadai its KGB,who knows that's not proved.Gorbachev faced the coup in 1991 ambapo Vladmir Puttin ndiye aliyemtorosha,prior to that ikumbukwe Ujerumani ili reunify mwaka 1990 into one country japo communists officials never wanted that,makubaliano yalikuwa ni kwamba the soviet will give off East Germany in return NATO wasi extend more to the East na huu mkataba ulisainiwa George Hoover Bush na Mikhail Gorbachev.Lakini mpaka sasa US did the contrary ndiyo maana the fall of Berlin War and Germany Reunification can directly be linked with what happens now in Eastern Ukraine.Marekani na Nato wana extend to the East....nadhani nimesimulia ninachokikumbuka kwa miaka hiyo
 
Back
Top Bottom