mtaji laki saba siyo wote wanaweza kumudu
Ni kampuni ya network marketing inayodili na uuzaji WA dawa za binadamu ambazo Ni nzuri Sana kiukweli hii Ina tofauti na forever living na gnld kwanza kiingilio Ni 34000 Tu na unahitaji kuunganisha watu watano Tu PIA product zao Ni bei rahis
mhhh mkuu... kwanini
kwanini mr.???
Ningependa tu share ujuzi juu ya hii biashara ya uuzaji wa bidhaa na kampuni tajwa apo juu, Je! kuna ukweli wowote na sio utapeli jamani???
Mwenye kitu tafadhali usisite kudondosha apo chini
Yap kazi kweli kweli ni kazi ambayo wa chini unamfaidisha wa juu,bidhaa ghali na ukikosa wa kuwaingiza kwenye chama basi we chini ndo utaendelea kusugua viatu.Walioingia mwanzo ndo walifaidi ila kwa wa sasa kama huna network imekula kwako.mkuu usiwasikilize watu,wengi wao humu hawana information sahihi wanahukum network marketing zote kwa kutumia mfano wamoja, hii Ni biashara km biashara nyingine inatakiwa ufanye kazi kweli ndyo utaona mafanikio hakuna hela ya bure bure