ukwel kuhusu hili

Unkwn

Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
36
Reaction score
3
hellw waungwana ,samahan ninaomba kufahamishwa kuhusu hili swala.mimi nikijana nliyemaliza certificate in law chuo cha mzumbe nlitegemea kuendlea nadiploma lakn ikashndikana kutokana nakukosa fees.tangu nimemalza nimekuwa nikijitahdi kutafuta kazi bila mafanikio..hvyo nikaona niwashirikize jamaa mbalimbal ktk kunisaidia lakn wananiambia siwezi nikapata kazi ktokana na nlichosomea hvi nikwel waungwana?ninaomba mnisaidie ushauri.ninashukuru sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…