Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli upi nawakati madalali wa watumwa walikua warabu kwenye pwani ya africa masharikiWasalaam wanajf
Kama kichwa cha uzi kinavyosema , huu ndio ukweli watu wanapotoshwa miaka yote .
Fuatilia hii clip hapo chini
Acha porojo za kukariri , waliuzwa wapi ?😀😀 Abolition una hakika na ni stori za jaba , kaangalie walivyojaa huku Europe walifikajeUkweli upi nawakati madalali wa watumwa walikua warabu kwenye pwani ya africa mashariki
Seyyid said sultan aliamua kuhamishia makazi yake zanzibar kutoka oman kwa sababu ya utajiri uliokua unapatikana kwenye biashara ya utumwa na karafu zanzibar
Huku pwani ya afrika magharibi walikua
wareno
Waingereza ndo walikua wakwanza kuanzisha society of abolition of slave trade 1787
Wazungu ndio chanzo cha utumwa , wanaleta matatizo wao halafu wanadanganya😀 Lazima waombe msamaha ndio wamewaletea elimuMkuu kila kitu kilielezewa kwenye somo la historia
Waarabu na baadhi ya ngozi nyeusi walikua madalali tu lakini watumwa walipelekwa huko Ulaya kwa Waingereza, Wafaransa na Wajerumani kwenye mashamba ya sukari.
Mpaka pale Waingereza walipoamua kuachana nayo na kujikita kwenye mapinduzi ya viwanda
Umefanya marudio.
Hiyo dini yenu inaondoaga akili kabisaAcha porojo za kukariri , waliuzwa wapi ?😀😀 Abolition una hakika na ni stori za jaba , kaangalie walivyojaa huku Europe walifikaje
awajaachana nayo kwakupenda bali waligundua niga watajaa kuliko wao baada ya mda manake wao wanzaa watot wa 2 m1 niga anazaa paka 7 wakapga esab wakaona tuachane nayo kuchukua watumwa na virginia jimbo la waxungu mtumwa alibikir mtoto wa bos akampa mimba ndio akaw kachochea moto kwa mafuta wakakaa mezan wabadil mfumo lakin asije tokea mtu akakwmbia waliacha waingerez kwa usawa a hak za bnadam bali waliona matatzo marekan ya kujaz watumwaMkuu kila kitu kilielezewa kwenye somo la historia
Waarabu na baadhi ya ngozi nyeusi walikua madalali tu lakini watumwa walipelekwa huko Ulaya kwa Waingereza, Wafaransa na Wajerumani kwenye mashamba ya miwa
Mpaka pale Waingereza walipoamua kuachana nayo na kujikita kwenye mapinduzi ya viwanda
Umefanya marudio.
Si ndiyo hapo,wakati sahvi yenyewe tu tunapelekeshanaYou guys are too much!!
Mnalialia sana.