T.Mwambungu
Senior Member
- Jan 25, 2013
- 198
- 43
MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR:26-04-1964
>Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 09-12-1961,
Zanzibar 12-01-1964.
>Mwl.J.K.Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume walitiliana saini ya Kuukubali muungano tar. 22-04-1964.
>Mkataba uliidhinishwa tar.26-04-1964 na Bunge la muungano na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
>Viongozi kutoka pande zote 2 walikutana ukumbi wa Kalimjee Dar es salaam na kubadilishana hati za Muungano.
>Jina la muda la nchi undwa lilikuwa "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR"
>tar.28-10-1964 jina likabadilishwa na kuwa "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA" kwa kupitia sheria ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1964, no.61
>tar.26-04-1964 sheria za Muungano zilipipishwa na Bunge likiwa pamoja na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
>tar.27-04-1964 Wajumbe 7 wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa wabunge la Jamhuri ya Muungano.
Nao ni:Sheikh Abeid Aman Karume,Sheikh Idris Abdul Wakil,Sheikh Hasni Makame,Kassim Abdallah na Abdulrahaman Mohamed Babu.
>mwaka 1965 katiba ya muda ya Muungano ikapatikana na kuainisha mambo 11 ya muungano
MAMBO 11 YA MWANZO YA MUUNGANO.
~Katiba ya serikali ya muungano.
~Mambo ya nchi za nje.
~Ulinzi.
~Polisi na mamlaka yahusuyo kutangaza hali ya hatari ya nchi.
~Uraia
~Uhamiaji
~Mikopo na Biashara ya nchi za nje.
~Utumishi ktk Jamhuri ya Muungano
~Kodi binafsi ilipwayo na mashirika na watu binafsi
~Usafiri wa anga,posta na simu.
~Bandari
~Ushuru wa forodha,Ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini unaosimamiwa na Idara ya forodha.
>Katiba ya muda ya 1965 ilitambua mfumo wa chama kimoja yaani, TANU kwa Tanganyika na ASP Kwa upande wa Zanzibar.
Ilimtambua Rais wa Zanzibar kama Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya muungano, na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano.
ONGEZEKO LA MAMBO 11 YA MUUNGANO NA KUFIKIA MAMBO 22
~1965, Mambo yote yanayohusu sarafu na fedha
>1967,kuundwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ikapelekea kuongezeka kwa mambo 3 ya muungano ambayo ni:
~Leseni za viwanda na Takwimu.
~Elimu ya juu
~Usafiri wa anga
~1968,Mambo ya Maliasili ya Mafuta na Mafuta yasiyochujwa.
~Bidhaa ya gesi asilia iliongezwa pia.
N.k
>Mwaka 1977,kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kukafanya kuongezwa kwa mambo yaliyokuwa chini ya Jumuiya hiyo na kuwa chini ya Serikali ya muungano na kufikisha mambo 21 ya muungano.
>1992, Baada ya kuingia ktk mfumo wa vyama vingi, kukapelekea Jambo la 22 kuongezeka ili kuendana na mfumo mpya wa vyama vingi.
NINAWATAKIA SHEREHE NJEMA ZA MUUNGANO KWA WATZ WOTE WALIOMO NCHINI NA NJE YA TZ
>Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 09-12-1961,
Zanzibar 12-01-1964.
>Mwl.J.K.Nyerere na Sheikh Abeid Aman Karume walitiliana saini ya Kuukubali muungano tar. 22-04-1964.
>Mkataba uliidhinishwa tar.26-04-1964 na Bunge la muungano na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
>Viongozi kutoka pande zote 2 walikutana ukumbi wa Kalimjee Dar es salaam na kubadilishana hati za Muungano.
>Jina la muda la nchi undwa lilikuwa "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR"
>tar.28-10-1964 jina likabadilishwa na kuwa "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA" kwa kupitia sheria ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1964, no.61
>tar.26-04-1964 sheria za Muungano zilipipishwa na Bunge likiwa pamoja na Baraza la Mapinduzi Zanzibar.
>tar.27-04-1964 Wajumbe 7 wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa wabunge la Jamhuri ya Muungano.
Nao ni:Sheikh Abeid Aman Karume,Sheikh Idris Abdul Wakil,Sheikh Hasni Makame,Kassim Abdallah na Abdulrahaman Mohamed Babu.
>mwaka 1965 katiba ya muda ya Muungano ikapatikana na kuainisha mambo 11 ya muungano
MAMBO 11 YA MWANZO YA MUUNGANO.
~Katiba ya serikali ya muungano.
~Mambo ya nchi za nje.
~Ulinzi.
~Polisi na mamlaka yahusuyo kutangaza hali ya hatari ya nchi.
~Uraia
~Uhamiaji
~Mikopo na Biashara ya nchi za nje.
~Utumishi ktk Jamhuri ya Muungano
~Kodi binafsi ilipwayo na mashirika na watu binafsi
~Usafiri wa anga,posta na simu.
~Bandari
~Ushuru wa forodha,Ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini unaosimamiwa na Idara ya forodha.
>Katiba ya muda ya 1965 ilitambua mfumo wa chama kimoja yaani, TANU kwa Tanganyika na ASP Kwa upande wa Zanzibar.
Ilimtambua Rais wa Zanzibar kama Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya muungano, na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano.
ONGEZEKO LA MAMBO 11 YA MUUNGANO NA KUFIKIA MAMBO 22
~1965, Mambo yote yanayohusu sarafu na fedha
>1967,kuundwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ikapelekea kuongezeka kwa mambo 3 ya muungano ambayo ni:
~Leseni za viwanda na Takwimu.
~Elimu ya juu
~Usafiri wa anga
~1968,Mambo ya Maliasili ya Mafuta na Mafuta yasiyochujwa.
~Bidhaa ya gesi asilia iliongezwa pia.
N.k
>Mwaka 1977,kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki kukafanya kuongezwa kwa mambo yaliyokuwa chini ya Jumuiya hiyo na kuwa chini ya Serikali ya muungano na kufikisha mambo 21 ya muungano.
>1992, Baada ya kuingia ktk mfumo wa vyama vingi, kukapelekea Jambo la 22 kuongezeka ili kuendana na mfumo mpya wa vyama vingi.
NINAWATAKIA SHEREHE NJEMA ZA MUUNGANO KWA WATZ WOTE WALIOMO NCHINI NA NJE YA TZ