Ukweli huu ukizingatiwa, basi suluhisho la kugombania Jerusalem na Dome of the Rock itapatikana

Ukweli huu ukizingatiwa, basi suluhisho la kugombania Jerusalem na Dome of the Rock itapatikana

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Nasihi tumia dakika 7 tu za urefu wa video hii utapata ukweli wote. Halafu ndiyo utajua kwanini waarabu wa Saudi Arabia wakiongozwa na MBS wameanza kuyasitukia magundisho ya Quran na Sunnah zake kuwa ni kikwazo cha maendeleo na ustawi wa jamii za binadamu

View: https://youtu.be/u6heAGwpIVM?si=XJaKTSGBj7pfsOgc
 
Ungeelezea japo kidogo yaliyomo kwenye hiyo video
Watanzania ukiandika maelezo malefu watatafuta ulipo chapia kukosea na wakitaka ufafanue kwa ufupi.Ukiandika kifupi au kutengeneza mjadara utaambiwa unatumia mafumbo au maelezo marefu.
Yani aliyesema waafrika ni nyani ajakosea kabisa
 
Saudia itakuwa taaifa la kwanza la kiislam kupuuzia dini hiyo licha kuwa ndio kitovu cha uislam duniani, Maka ndio mahujaji toka sehemu mbalimbali duniani huenda kuhiji huko
 
Kumbe hujui ?basi waarabu wote sio waislamu ...🤣🤣Nchi ya saudi ina miji ya kiislam ila mji mkuu wake Riyadh hakuna mambo ya dini ....kwa Sababu hata wakiacha pale waislamu wanafuata kuhij tu basi kama ilivyo wakristo pale Jerusalem licha ya kutemewa mate.

Riyadh kuna gays kibao wanaruhusiwa ila sio Meccah ,saudi kuna matamasha ya muziki ,watu wanakaa uchi kama hujui. Sehemu ya waislamu ni ndogo sana kuliko saudia yote.

Saudia hiyo na nchi za waarabu pakitokea tukio la ajabu basi watatukanwa waislamu ilhali wanaofanya wengine sio waislamu... Waarabu wote ni portion ndogo sana ya waislamu,kumbuka dini hairithiwi kwa sababu hautoweza kuelewa..

Nyie nyie mnakuja kusema mtu akibadili dini anauliwa.

Uongozi wa Mbs ndiyo ulimuua Jamal khashongy kitakili na mengiw wanafanya ya hovyo kinyume na uislamu​
 
Saudia itakuwa taaifa la kwanza la kiislam kupuuzia dini hiyo licha kuwa ndio kitovu cha uislam duniani, Maka ndio mahujaji toka sehemu mbalimbali duniani huenda kuhiji huko
Saudi Arabia itabaki kama kitovu cha biashara ya hijja

Itakadi Kali itabaki kwa Hawa wa huku buza na manzese
 
Back
Top Bottom