Watanzania ukiandika maelezo malefu watatafuta ulipo chapia kukosea na wakitaka ufafanue kwa ufupi.Ukiandika kifupi au kutengeneza mjadara utaambiwa unatumia mafumbo au maelezo marefu.Ungeelezea japo kidogo yaliyomo kwenye hiyo video
Saudi Arabia itabaki kama kitovu cha biashara ya hijjaSaudia itakuwa taaifa la kwanza la kiislam kupuuzia dini hiyo licha kuwa ndio kitovu cha uislam duniani, Maka ndio mahujaji toka sehemu mbalimbali duniani huenda kuhiji huko