Ukweli kuhusiana na Suala la Feisal Toto na Kigugumizi cha TFF. Chama na Dickson Job wapo kwenye Rada

Ukweli kuhusiana na Suala la Feisal Toto na Kigugumizi cha TFF. Chama na Dickson Job wapo kwenye Rada

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.
 
eti yusuf kwa mda mrefu alikuwa nje ya nchi?. acha kuwalisha watu matango pori.

jamaa anaishi hapahapa tz(mikocheni dar jirani na shoppers plaza).

huko nje huwa anaenda tu na kurudi, ni kama tu vile anavyofanya maulind kitenge na trip zake.
Jamaa anajua wote hatuna habari humu ndani.

Yusufu yupo kila mara hapa bongo na ukienda msikiti wa mikocheni ijumaa pale karibu na the wheel ana swali mara nyingi tu.

Kuhusu habari za usajiri inaweza kuwa kweli tetesi kama ligi za mtoni tu
 
eti yusuf kwa mda mrefu alikuwa nje ya nchi?. acha kuwalisha watu matango pori.

jamaa anaishi hapahapa tz(mikocheni dar jirani na shoppers plaza).

huko nje huwa anaenda tu na kurudi, ni kama tu vile anavyofanya maulind kitenge na trip zake.
Bora muwaumbue hawa watu lol.
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua...
Unaandika kama Binti Kazumari.

Uweke huo mkataba wa Fei hapa tuusome la sivyo hizi ni hadithi unatuandikia!
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.

Vidole vilikiwa vinakuwasha basi ukaamua kuandika story za vijiweni
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.
Huu ujinga mnazaliwa nao au mnafundishwa?
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.
Nilichogundua katika haya maelezo yako, huyo Yusuph Bakhresa atakuwa ni kiazi mviringo. Yaani anapiga hesabu ya kumuuza Fei Toto Ureno huku akiwa hana mchango wowote ule katika maendeleo yake ya mpira!

Kisa tu ammshawishi mama wa huyo mchezaji!! Hiyo jeuri yake iko wapi sasa!m? Mbona amejificha kama kobe, baada ya huo uhuni wake kubumburuka?
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.
Hizi habari na wewe ulizitoa wapi?
 
Jamaa anajua wote hatuna habari humu ndani.

Yusufu yupo kila mara hapa bongo na ukienda msikiti wa mikocheni ijumaa pale karibu na the wheel ana swali mara nyingi tu.

Kuhusu habari za usajiri inaweza kuwa kweli tetesi kama ligi za mtoni tu
Aisee
 
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua sua.

kwa muda mrefu Azam imekuwa chini ya walimu Wareno hawa wamekuwa wakisaka vipaji na kutoa shauri mbalimbali kuhusiana na soka katika club hii. katika kupandisha wachezaji chipukizi na kusajili pia.

Hawa wataalam ndiyo walimshauri Yusuf kuwa asihangaike sana na wachezaji toka Latin America wengi hushindwa ku perform kutokana na mazingira lakini nao hupenda sana kukaa na familia zao. hivyo aangalie wachezaji wazuri walioko katika ligi.

Ndipo Yusuf aliweka nia ya kuwapata wachezaji 6 ambao kati yao yupo Feisal Toto na Job hawa wa Yanga na Clatous Chama wa Simba. na wengine wa 3. ilikuwa na Manura naye aende Azam alishachukua mpunga. wakakaa wakaamua kuyamaliza baada ya wakubwa flani kuingilia na kusema watarudisha pesa aliyochukua Manura.

Mpango wa Yusuf ni kuwa amchukue Feisal acheze kidogo Azam kisha akamuuze kwa dau zuri huko Ureno kuna team inamtaka. na dau lao ni zuri alikuwa na uhakika wa kubaki na faida isiyopungua Mil 400.

Feisal mkataba ilikuwa mnamruhusu kuvunja na kurudisha mishahara ya miezi mitatu pamoja na signing fee ambayo itakuwa imebaki kwa kipindi ambacho atakuwa anaondoka. Yusuf alimlipa Feisal hiyo pesa baada ya kuwa ameshaongea na mama yake Feisal na kukubaliana.

Feisal akachukua ile pesa na kwend iweka kwenye akaunti ya Yanga pasipo kuwa amefuata utaratibu wa kitaalumu. mhasibu wa Yanga alipoona kuna pesa imeingizwa kwenye akaunt inasoma inatoka kwa Feisal. haraka akawasiliana na Viongozi wa Yanga. wakashtuka wakijua kuna issue inakuja. haraka wakawahi TFF.

kihalali ni kuwa Yanga wanapaswa wamuachie Feisal ila wanachoona TFF kuwa wanaweza zusha mgogoro mkubwa sababu wachezaji wengi wanaweza amua kuwa wanavunja tu mikataba kwa namna hiyo. na hapa zinazolindwa ni teams kuu mbili.

Simba na Yanga. kumbukeni hizi teams zinatumika kisiasa pia. hivyo wakaona Azam inaweza zivuruga sana maana pesa wanayo na hawana ubahili. ili kutotoa mwanya kwa wachezaji wengine kufanya hili wakaona dawa ni kumzuia Feisal asiende Azam.

Wakati huo huo Chama yupo kiporo. mkataba wake unakaribia kuisha. Azam wameshaonesha nia kwake. Simba wanapomfuata kutaka kumwongezea mkataba anapiga chenga anasubiri afike mwishoni aje apige pesa nzuri akiwa anawaniwa na Simba na Azam. Yanga Dickson Job na mchezaji mmoja simtaji wao pia wamewekwa standby

Haya ndiyo ambayo yanaendelea kwenye viunga vya mpira nchini Tanzania. nawaletea hizi ni habari za ndaaaaaaaaaaaani kabisa. nitazidi wahabarisha kinachoendelea.
feitoto hana nidhamu ya kucheza ulaya
 
Back
Top Bottom