ukweli kuhusu brand name ya jezi za taifa stars

ukweli kuhusu brand name ya jezi za taifa stars

CalvinPower

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
1,634
Reaction score
1,001
wakuu naombeni kujua ukweli kuhusu brand name ya jezi za timu ya taifa ( taifa stars) ina michirizi ya adidas lakini nasikia sio adidas ila ni adidas feki. wakuu wa adidas walikuja kwaajili ya kuchukua tenda ila wao wakaenda kutengeneza sehemu nyingine.
 
Jezi Mpya ya Taifa Stars...
i30_1.jpg
 
Hakuna cha Adidas au nini hapo! TFF in 2006 walifloat tender ya mtu atakayedizaini jezi na nadhani kashinda mtu mmoja anaitwa Dewji mwenye duka la michezo pale raundabaut ya DTV Jamuhuri street.

We can do better than this, I say!
 
Back
Top Bottom