Mama yako mbweha jike mimi mbweha dume na wewe ni mtoto wetu mbweha mtoto.Hapa kinazungumzwa kifaransa wewe mbweha
Mimi nyumbu dume wewe nyumbu jike!!Wewe ni nyumbu
Mama yako mbweha jike mimi mbweha dume na wewe ni mtoto wetu mbweha mtoto.
FaizaFoxy huandika "ina lilah waina lilah rajiun" Nadhani ni toholeo la kiarabu sasa humu tunaandika kiarabuuuu!!!
We mtoto wa mbweha vipi wewe unakuwa na dna ya nyau?
Kiswahili chenyewe kinatokana na Kiarabu kwa asilimia kubwa.
Punguani wahed.
"Punguani" ndiye mwanao wa kwanza na "wahed" ni ombi rasmi kuwa nikuoe?!!!!!
Mimi ni mkristo, tuna ndoa ya mke mmoja tu!!
Safi sana huu ndiyo usomi,sio watu wanakuja na porojo ooh waziri atoke,kweli Dr Mpango,a former WB economist hajui anachofanya?jamani watz tuàche umbea.Wana bodi,
Kumekuwa na taarifa mbalimbali kutoka vyanzo tofauti, nyingi zikipendekeza kuwa hali ya mabenki ni mbaya, ya kutia mashaka, na kuonesha dalili ya mabenki kufilisika. Nimeamua kuandika machache na kwa ufupi, kutokana na uchunguzi na tathmini ya kitaalamu. Sababu za kuandika ni mbili. Moja, kwa kuwa uchumi na hasa sekta ya fedha ni eneo langu la taaluma, na nitakuwa sitawatendei haki watanzania kama sitasema neno. Pili, mabenki na sekta ya fedha ni moyo wa uchumi. Midororo na misukosuko mingi katika historia ya chumi za dunia, mara nyingi huanzia katika sekta ya fedha. Naomba kusema kwa ufupi, kwa hoja tatu.
Hoja ya Kwanza: kumekuwa na tatizo ambalo ni la kawaida katika sekta ya fedha la kutolipa madeni wadaiwa. Benki nyingi, na hasa CRDB imekuwa na tatizo hilo. Kwa utaratibu wa kawaida, mabenki hukisia uwezekano wa kutolipwa na kuweka pembeni uwekezano huo (provision), na wakati mwingine kufanya juhudi za kuweka mikakati ya kuyakusanya (restructuring) kihasibu na kisera. Inaposhindikana, mabenki hutambua kuwa haitalipwa na kuweka kama gharama (expensing loans write offs). Hii hupunguza faida. Kwa CRDB imekuwa na athari kubwa, na pengine hutokea mabenki yakafanya hivi kwa pamoja au kwa namna ya msimu, na hivyo hili limetokea katika robo ya tatu ya mwaka 2016. Takwimu zinaonesha kuwa katika trilioni 16.7 zilizokopeshwa, kuna uwezekana wa trilioni 1.43 kutolipwa (non-performing loans) (asilimia 8.6). Kiwango hiki kwa Tanzania ni cha kawaida, tena cha chini kuliko nchi nyingi za kusini mwa Sahara ambazo viwango vyao hufika hadi asilimia zaidi ya 20.
Hoja ya Pili: Kulikuwa na kutoelewana kati ya mabenki na serikali kuhusu kodi ya mapato yatokanayo na mikopo ya benki. Mabenki mengine yalifungua kesi dhidi ya TRA. Lakini katika mwaka 2016 mfano, CRDB walishindwa kesi na hivyo wakatakiwa kulipa kodi hiyo, ambayo ilijumuisha pia kodi ya vipindi vya nyuma (retrospective). Benki nyingi ziliona matumaini ni machache, itawalazimu kulipa kodi hiyo ya serikali. Kwa hiyo muhula wa tatu wa mwaka 2016, mabenki mengi yakatambua kodi hiyo kama gharama. Na ndio maana faida katika mabenki mengi na sekta ilishuka kwa kasi sana, ukizingatia hoja ya kwanza na hoja hii ya pili.
Hoja ya Tatu: Wengi wamehusianisha hasara hii na tatizo la mtaji katika benki ya Twiga. Ukweli ni kuwa, uhusiano ni mdogo sana. Kilichotokea benki ya Twiga, ni kuwa wamekuwa na tatizo la mtaji kwa muda mrefu, wa karibu miaka kumi. Wakaomba serikali aliye mmiliki aongeze mtaji, hilo halikufanyika. Kwa sababu serikali ni mmiliki, benki ikaendelea kuendeshwa bila mtaji wa kutosha. Pamoja na tatizo la mikopo kwa kiasi fulani, hali ikawa mbaya hadi hapo Benki Kuu walipoamua kuchukua dhamana ya benki. Jambo jema linalokuja, ni kuwa wawekezaji binafsi wamekaribishwa kuingiza mtaji, na hadi ninapoandika, Mohammed Dewji na Exim Bank ya China wana nafasi kubwa ya kushinda tenda hiyo.
Nimesikitishwa na upotoshaji unaofanywa, tena na wataalamu. Wakizungumzia kuwa kuna ukasi wa mtitiriko wa fedha (liquidity) katika sekta ya fedha kutokana na serikali kutoa fedha zake na kuziweka benki kuu. Ukweli ni kuwa serikali ilitoa shilingi bilioni 515, wakati liquidity ya mabenki yote kwa takwimu za Disemba 2015, ni bilioni 9,004. Kiasi kilichotolewa ni asilimia 5.7 pekee ya ujazo wa fedha. Na fedha hizi mabenki yanaweza kuzikopa kutoka benki kuu. Kwa tathmini yangu, viashiria vyote ya msingi (fundamentals) vya sekta ya fedha kama mtaji, ujazo wa fedha, ubora wa dhamana, faida na ubora wa uongozi wa mabenki (CAMEL) vipo katika viwango vinavyokubalika (prudential limits). Na mwisho, tathmini yangu inaonesha kuwa mwisho wa mwaka 2016, robo ya nne, mabenki mengi na kwa ujumla wake, yatarekodi faida.
Genuine Martin (Economics PhD Candidate, Northern Illinois University, USA)
Ahsante Mwana,Nimesikitishwa na upotoshaji unaofanywa, tena na wataalamu. Wakizungumzia kuwa kuna ukasi wa mtitiriko wa fedha (liquidity) katika sekta ya fedha kutokana na serikali kutoa fedha zake na kuziweka benki kuu. Ukweli ni kuwa serikali ilitoa shilingi bilioni 515, wakati liquidity ya mabenki yote kwa takwimu za Disemba 2015, ni bilioni 9,004. Kiasi kilichotolewa ni asilimia 5.7 pekee ya ujazo wa fedha. Na fedha hizi mabenki yanaweza kuzikopa kutoka benki kuu. Kwa tathmini yangu, viashiria vyote ya msingi (fundamentals) vya sekta ya fedha kama mtaji, ujazo wa fedha, ubora wa dhamana, faida na ubora wa uongozi wa mabenki (CAMEL) vipo katika viwango vinavyokubalika (prudential limits). Na mwisho, tathmini yangu inaonesha kuwa mwisho wa mwaka 2016, robo ya nne, mabenki mengi na kwa ujumla wake, yatarekodi faida.
Genuine Martin (Economics PhD Candidate, Northern Illinois University, USA)
Pendaneni... Hii ni amri kuuNyie si hata hivi mnaoana:
Unamuona mchungaji na mkewe sijuwi mumewe huyo?
Pessimism=pestimismkatika hali yoyote ile ya kutapatatapa either kwa boti kuzama au kuanguka kwa uchumi, kuna makundi matatu huibuka...kundi la kwanza huweka mkazo kuwa uchumi uko sawia (Optimism) na kundi la pili huwa na mtazamo hasi (Pessimism) na kundi la mwsho huwa ni wale wenye mtazamo wa kineutrolali (Neutral). Uchumi ukijakuyumba hawajamaa optimist huwa wanakuwa na hali mbaya sana kisaikologia kutokana na kuonyesha udhaifu wao wa kuchambua masuala makubwa kama haya yanayoligusa taifa (Refer Global Economic Crisis). kwa suala hili la uchumi kwenda mrama si ajabu kumuona mtu kama huyu bwana mdogo akiinuka na kusema hali ya uchumi iko sawa (kwa ufupi ni kuwa huyu jamaa yuko U.S.A na sio Tanzania), pili ni mwanachama mtiifu wa chama kinachoongoza na ni mfanyakazi wa serikali (namwita middle income person). Nenda uendako wanaoanza kuonja joto la mtikisiko wa uchumi ni hawa lower income (unstable income earners) sio wenye kaliba za watu kama martin. Ndg mafuru alieleza wazi kuwa kuna liquidity problem iliyo sababishwa na serikali kuweka hela B.O.T na vile hawajaanza kurelease kwenye projects (NB. PM kalisema hili jana Arusha). wadau wengi mtaani wanakwambia hali ya uchumi haiko OK kutokana na mdororo wa biashara na viwanda kuonyesha nia ya kufungwa/kupunguza wafanyakazi (pessimist class). Kwa ushauri wangu huyu jamaa amalize masomo yake na arudi aendelee na kibarua chake
Umesoma uchumi na upo pale mnazimmoja kwa pembeni pale karibu na crdb paleWana bodi,
Kumekuwa na taarifa mbalimbali kutoka vyanzo tofauti, nyingi zikipendekeza kuwa hali ya mabenki ni mbaya, ya kutia mashaka, na kuonesha dalili ya mabenki kufilisika. Nimeamua kuandika machache na kwa ufupi, kutokana na uchunguzi na tathmini ya kitaalamu. Sababu za kuandika ni mbili. Moja, kwa kuwa uchumi na hasa sekta ya fedha ni eneo langu la taaluma, na nitakuwa sitawatendei haki watanzania kama sitasema neno. Pili, mabenki na sekta ya fedha ni moyo wa uchumi. Midororo na misukosuko mingi katika historia ya chumi za dunia, mara nyingi huanzia katika sekta ya fedha. Naomba kusema kwa ufupi, kwa hoja tatu.
Hoja ya Kwanza: kumekuwa na tatizo ambalo ni la kawaida katika sekta ya fedha la kutolipa madeni wadaiwa. Benki nyingi, na hasa CRDB imekuwa na tatizo hilo. Kwa utaratibu wa kawaida, mabenki hukisia uwezekano wa kutolipwa na kuweka pembeni uwekezano huo (provision), na wakati mwingine kufanya juhudi za kuweka mikakati ya kuyakusanya (restructuring) kihasibu na kisera. Inaposhindikana, mabenki hutambua kuwa haitalipwa na kuweka kama gharama (expensing loans write offs). Hii hupunguza faida. Kwa CRDB imekuwa na athari kubwa, na pengine hutokea mabenki yakafanya hivi kwa pamoja au kwa namna ya msimu, na hivyo hili limetokea katika robo ya tatu ya mwaka 2016. Takwimu zinaonesha kuwa katika trilioni 16.7 zilizokopeshwa, kuna uwezekana wa trilioni 1.43 kutolipwa (non-performing loans) (asilimia 8.6). Kiwango hiki kwa Tanzania ni cha kawaida, tena cha chini kuliko nchi nyingi za kusini mwa Sahara ambazo viwango vyao hufika hadi asilimia zaidi ya 20.
Hoja ya Pili: Kulikuwa na kutoelewana kati ya mabenki na serikali kuhusu kodi ya mapato yatokanayo na mikopo ya benki. Mabenki mengine yalifungua kesi dhidi ya TRA. Lakini katika mwaka 2016 mfano, CRDB walishindwa kesi na hivyo wakatakiwa kulipa kodi hiyo, ambayo ilijumuisha pia kodi ya vipindi vya nyuma (retrospective). Benki nyingi ziliona matumaini ni machache, itawalazimu kulipa kodi hiyo ya serikali. Kwa hiyo muhula wa tatu wa mwaka 2016, mabenki mengi yakatambua kodi hiyo kama gharama. Na ndio maana faida katika mabenki mengi na sekta ilishuka kwa kasi sana, ukizingatia hoja ya kwanza na hoja hii ya pili.
Hoja ya Tatu: Wengi wamehusianisha hasara hii na tatizo la mtaji katika benki ya Twiga. Ukweli ni kuwa, uhusiano ni mdogo sana. Kilichotokea benki ya Twiga, ni kuwa wamekuwa na tatizo la mtaji kwa muda mrefu, wa karibu miaka kumi. Wakaomba serikali aliye mmiliki aongeze mtaji, hilo halikufanyika. Kwa sababu serikali ni mmiliki, benki ikaendelea kuendeshwa bila mtaji wa kutosha. Pamoja na tatizo la mikopo kwa kiasi fulani, hali ikawa mbaya hadi hapo Benki Kuu walipoamua kuchukua dhamana ya benki. Jambo jema linalokuja, ni kuwa wawekezaji binafsi wamekaribishwa kuingiza mtaji, na hadi ninapoandika, Mohammed Dewji na Exim Bank ya China wana nafasi kubwa ya kushinda tenda hiyo.
Nimesikitishwa na upotoshaji unaofanywa, tena na wataalamu. Wakizungumzia kuwa kuna ukasi wa mtitiriko wa fedha (liquidity) katika sekta ya fedha kutokana na serikali kutoa fedha zake na kuziweka benki kuu. Ukweli ni kuwa serikali ilitoa shilingi bilioni 515, wakati liquidity ya mabenki yote kwa takwimu za Disemba 2015, ni bilioni 9,004. Kiasi kilichotolewa ni asilimia 5.7 pekee ya ujazo wa fedha. Na fedha hizi mabenki yanaweza kuzikopa kutoka benki kuu. Kwa tathmini yangu, viashiria vyote ya msingi (fundamentals) vya sekta ya fedha kama mtaji, ujazo wa fedha, ubora wa dhamana, faida na ubora wa uongozi wa mabenki (CAMEL) vipo katika viwango vinavyokubalika (prudential limits). Na mwisho, tathmini yangu inaonesha kuwa mwisho wa mwaka 2016, robo ya nne, mabenki mengi na kwa ujumla wake, yatarekodi faida.
Genuine Martin (Economics PhD Candidate, Northern Illinois University, USA)
Hahahaha.... Sasa nawe nawe utakuta unafamilia. Shida sana!Mimi nyumbu dume wewe nyumbu jike!!
Nakudinyajee!!?
tatizo wakipewa madaraka wanabadilika, ccm hata ukiwa intelligent namna gani wanakutoa ufahamNingekua mtu mkubwa serikalini..watu kama nyie mnatufaa sana katika nchi hii tena Ktk nyadhifa kubwa..very intelligent..be blecd