D DAUDI S KIPANDE Member Joined Aug 17, 2017 Posts 45 Reaction score 17 Oct 8, 2017 #1 Jaman habari zenu, samahan je kuna ukweli kwamba kuna pesa za kijeluman mfano lupiah zinatafutwa? na kama kwel ni nan anae nunua natanguliza shukran zenu, matus sio uungwana Dsk
Jaman habari zenu, samahan je kuna ukweli kwamba kuna pesa za kijeluman mfano lupiah zinatafutwa? na kama kwel ni nan anae nunua natanguliza shukran zenu, matus sio uungwana Dsk
N Ninaweza JF-Expert Member Joined Dec 14, 2010 Posts 13,095 Reaction score 8,284 Oct 8, 2017 #2 Ni utapeli tu.
divino Member Joined Sep 19, 2017 Posts 62 Reaction score 77 Oct 8, 2017 #3 Izo Rupee ni fedha zinazotafutwa na mambo ya kishirikina hasa!
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Oct 8, 2017 #4 Ni kweli kuna watu wanazisaka
Jumax Senior Member Joined Mar 4, 2017 Posts 117 Reaction score 229 Oct 8, 2017 #5 Mkuu LUPIAH ndio nini?
Newmiss Member Joined Aug 13, 2017 Posts 25 Reaction score 16 Oct 8, 2017 #6 Jumax said: Mkuu LUPIAH ndio nini? Click to expand... Na Jelumani pia napo patamu
Newmiss Member Joined Aug 13, 2017 Posts 25 Reaction score 16 Oct 8, 2017 #7 Jumax said: Mkuu LUPIAH ndio nini? Click to expand... Na Jelumani pia napo patamu
B bibinnaa JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 1,500 Reaction score 1,378 Oct 8, 2017 #8 Unazo....???
Jiwedogo JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 2,811 Reaction score 4,097 Oct 8, 2017 #9 Jumax said: Mkuu LUPIAH ndio nini? Click to expand...
D DAUDI S KIPANDE Member Joined Aug 17, 2017 Posts 45 Reaction score 17 Oct 10, 2017 Thread starter #10
divino Member Joined Sep 19, 2017 Posts 62 Reaction score 77 Oct 10, 2017 #11 Me nimeridhi rupia ya babu yangu ila sioni umuhimu bado nimehifadhi tu