Ukweli kuhusu maisha ya sanaa na wasanii

nibip beibee nimekumiss saana honey...
😀😀😀 acha kabisa hizo ngoma..daah miaka hiyo ilikua raha sana..kweli muda unakwenda mbio sana!! hawa wasanii wazamani inabidi wajue ngoma zao bado zinaishi...huwezi kulia huna hela akati wana ngoma zinazoweza leta amsha amsha...
 
Sorry, nimeona post yako sehem unaelezea biashara ya ice cream. Na mimi natengeneza ice cream nauza mtaani. Unaweza kunielekeza jinsi ya kuweka unga wa ngano ili ice cream iwe nzuri ???? Nakutext PM Inakataa
 
Hii nina hakika wa "Degree 4" hawezi andika hii Article. kwani hata google hawana. big up bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…