PathwayzZote
Member
- Jul 4, 2024
- 65
- 85
Sahihi aseUzi wako ni sahihi ila utaleta makasiriko sana
Kwanza warusi wenyewe ni wabaguzi kwa waafrica piaMzuka wana JF
Kuna wadau humu wanapenda kuiponda sana marekani totaly (sio kwamba nasema marekani haina maovu )
wanasema russia ndo kila kitu na wengine wanafika hatua ya kuita Russia ni taifa teule. Lakini kila siku wanalilia visa za kwenda Marekani.
Guys twende mbele turudi pembeni, wana Russia weusi wakipewa nafasi ya kwenda russia au Marekani, wote watakimbilia Marekani - the land of opportunities!
Nimemaliza [emoji2526][emoji2526][emoji41][emoji41][emoji89]
Land of opportunities is being determine by the color of your skinny buddy wake up and wipe your assMzuka wana JF
Kuna wadau humu wanapenda kuiponda sana marekani totaly (sio kwamba nasema marekani haina maovu )
wanasema russia ndo kila kitu na wengine wanafika hatua ya kuita Russia ni taifa teule. Lakini kila siku wanalilia visa za kwenda Marekani.
Guys twende mbele turudi pembeni, wana Russia weusi wakipewa nafasi ya kwenda russia au Marekani, wote watakimbilia Marekani - the land of opportunities!
Nimemaliza π΄ββ οΈπ΄ββ οΈπππ½
Bila shaka ww visa ya Marekani ulisha nyimwa na ndio maana huko Tanzagiza unapigwa vumbi.Uzi wako ni sahihi ila utaleta makasiriko sana
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.Umemaliza form 6 mwezi wa tano. Ume apply chuo gani bwana mdogo uende shule ?
Huo sasa unaaa kama wakimarekani.Mzuka wana JF
Kuna wadau humu wanapenda kuiponda sana marekani totaly (sio kwamba nasema marekani haina maovu )
wanasema russia ndo kila kitu na wengine wanafika hatua ya kuita Russia ni taifa teule. Lakini kila siku wanalilia visa za kwenda Marekani.
Guys twende mbele turudi pembeni, wana Russia weusi wakipewa nafasi ya kwenda russia au Marekani, wote watakimbilia Marekani - the land of opportunities!
Nimemaliza π΄ββ οΈπ΄ββ οΈπππ½