Ukweli kuhusu Misri na utamaduni wa kale wa Africa unaonekana leo na sura halisi ya wamisri

Ukweli kuhusu Misri na utamaduni wa kale wa Africa unaonekana leo na sura halisi ya wamisri

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339


kutokana na video hii utaona utamaduni wa wamisri wa kale unavyofanana na makabila mengi ya africa nywele, vitu, technology, ujenzi wa nyumba za kifalme mfano tomb of askia mohamed na kadhalika.

Kubwa tujifunze mambo ya kwetu tuliyofanya na lingine anayedhani kwamba mambo yanayoonekana misri yalifanywa watu wengine ambao sio black skined people ni mwongo mkubwa na baadhi ya wazungu wanadhani kwa kututangaza vibaya duniani kwamba hatujawahi kuchangia katika ustaarabu wa dunia huu ndio wakati muafaka wa kuwaambia bila kupepesa macho.

hii ni darasa lingine ambalo nimependa tuelimishane baadhi ya mambo ya kwetu yalifichwa usoni mwa dunia
 
Last edited by a moderator:
Acheni umbea jamani..Utamaduni sasa hivi ni uislam na huo si utamaduni wa Misri.....
 
Acheni umbea jamani..Utamaduni sasa hivi ni uislam na huo si utamaduni wa Misri.....

Misri ya kale ndugu yangu. Hawa waarabu ni setlers ndani ya misri maajabu ya misri ya ya kale wameikuta wanyewe wanakiri
 
Misri hapo kale kulikuwa na watu weusi tii, mostly nubians walisambaa hadi kule,
Na ni mtu nyeusi ndio iliyojenga pyramids na yale mastatues ni ya mafarao weusi, observe they nose na other facial features.
Vitabu vya dini vinakuja tuambia eti ni jews wa mid east ndio walijenga zile, ni uongo.
wangefia kule jangwani na lile joto na ile shughuli, only black men were capable of that.
 
A black skinned patriotic tanzania

Ndio maana yake lazima tuwaambie watu wetu maajabu waliyofanya wazee wetu na ni historia yetu hakuna wa kutunyima tusiyaongee kwa kuwa heshima ya mtu mweusi imeshushwa kupita kiasi na sasa tunasema pamoja kutufanya fikra zetu zote tuwaone wazungu ndio walioleta ustaarabu duniani siri tayari imevuja na bado kuna mengi sana amabayo hayajafahamika mfano mummificafication wanasema mystery simply because it comes from africa kwa nini wasiseme african science kwa ndugu yangu nakualika tuwape ndugu zetu habari hizi.
 
Misri hapo kale kulikuwa na watu weusi tii, mostly nubians walisambaa hadi kule,
Na ni mtu nyeusi ndio iliyojenga pyramids na yale mastatues ni ya mafarao weusi, observe they nose na other facial features.
Vitabu vya dini vinakuja tuambia eti ni jews wa mid east ndio walijenga zile, ni uongo.
wangefia kule jangwani na lile joto na ile shughuli, only black men were capable of that.


Bwana hoshea nipo haja jamvini kutoa elimu hiyo mtu nyeusi penda wasipende atawasumbua sana na mpaka leo hii tunaongea mimi na wewe hakuna aliyweza kujenga pyramid ile ya misri pamoja na sayansi tuliyonayo sasa nani mbabe mtu nyeusi kawatunishia misuli bado.

Wametuletea magonjwa mbalimbali lakini mungu yuko mbinguni tunazidi kuongezeka katika uso wa dunia wakaleta rasism ili watu weusi wasijamiane na wazungu kwa kuwa gene ya mtu nyeusi ni dominant mtoto lazima awe nyeusi na sasa wamekaa kimya lazima turudi usukani kma mwanzo sisi ndio jamii aliyoleta ustaarabu bila kumbagua mtu na tumeonyesha kwa vitendo katika zama hizi angalia mandela kuna mzungu kiongozi aliyeweza kufanya vile?
 
Misri ya kale ndugu yangu. Hawa waarabu ni setlers ndani ya misri maajabu ya misri ya ya kale wameikuta wanyewe wanakiri
Uislam unapenda sana dandia sifa njema...km walivyojitahidi sana dandia sifa za Misri, mkwawa alikuwa muuza watumwa km alivyo kinje..wao wakaficha uislam wa hao jamaa ili wawape kwanza sifa dhidi ya wamisionary waliopambana na akina mkwawa kuacha unyama..halfu baadae uislam ni utokee...km ilivyo kwa uhuru wa hii nchi ,waislam kwa dini yao hawakuwa upande wa uhuru,hadi nyerere alipowahonga mali za wakristu kwa gia ya kutaifisha....
 
Uislam unapenda sana dandia sifa njema...km walivyojitahidi sana dandia sifa za Misri, mkwawa alikuwa muuza watumwa km alivyo kinje..wao wakaficha uislam wa hao jamaa ili wawape kwanza sifa dhidi ya wamisionary waliopambana na akina mkwawa kuacha unyama..halfu baadae uislam ni utokee...km ilivyo kwa uhuru wa hii nchi ,waislam kwa dini yao hawakuwa upande wa uhuru,hadi nyerere alipowahonga mali za wakristu kwa gia ya kutaifisha....

sasa ndugu yangu sikiliza kama ni kazi ya dini yenye mchango mkubwa kwa ustaarabu dunia hii unawezaje kuacha kutaja uislamu nenda africa magharibi kote huko ni uislamu tu lakini mimi sijasema kwamba hawakuwa waislamu ishu yangu ni watu weusi kwa hiyo acha tabia ya kutojiamini na kuwa mtu aliyepofushwa na maswala ya dini kwani waarabu wote ni waislamu hapo kwenye maneno yangu wewe kitu gani kimekutuma kuongea uislamu kama sio kutojiamini.
 
Mkuu tupo pamoja sana tuwaeleweshe raia waliokaririshwa vitu wanashindwa jiamini kumbe wao ndio original ancestors of mankind equiped with not only extraordinary physical strength, but wit mental and spiritual strength surpassing vry race on the planet.

Alafu mbaya zaidi threads kama hizi watu wala hawaoni interest bcoz wanadhani ni uongo
 
a ll in all, pamoja na yote ! wakati sisi hadi karne hii bado tunachonga vinyago wenzetu mawasiliano wanatunza kwenye micro cheap! huoni hii ni kati ya machache yanayowafanya wasiamini kwamba sio sisi tulojenga hizo pyramid?
 
a ll in all, pamoja na yote ! wakati sisi hadi karne hii bado tunachonga vinyago wenzetu mawasiliano wanatunza kwenye micro cheap! huoni hii ni kati ya machache yanayowafanya wasiamini kwamba sio sisi tulojenga hizo pyramid?


Hapo kuna hoja angalau la kutudanganyanya na kutupofusha ila kiburi ndio inayojenga alafu technology inaibiwa sisi hatuko tayari kuwaibia kama walivyofanya kwa surgery kuja africa na kuboresha
 
Uislam unapenda sana dandia sifa njema...km walivyojitahidi sana dandia sifa za Misri, mkwawa alikuwa muuza watumwa km alivyo kinje..wao wakaficha uislam wa hao jamaa ili wawape kwanza sifa dhidi ya wamisionary waliopambana na akina mkwawa kuacha unyama..halfu baadae uislam ni utokee...km ilivyo kwa uhuru wa hii nchi ,waislam kwa dini yao hawakuwa imupande wa uhuru,hadi nyerere alipowahonga mali za wakristu kwa gia ya kutaifisha....

Historia unaisomea wapi wewe?unasema mkwawa alikuwa mwislamu au nimekusoma vibaya?kama kweli alikuwa mwislamu nionyeshe msikiti alioujenga mkwawa au alipokuwa anaabudu hiyo dini ya uislamu?
Na kuhusu kinjekitile ngwale a.k.a bokero hakuwahi kuwa mwislamu alikuwa mganga maarufu anayefuata mila za kiafrika hizo taarifa sijui umezitoa wapi ningeomba unithibitishie pia.
Na hizi habari za waislamu kukataa uhuru, sio wote waliokataa, kwani chama cha Tanu ambayo makao makuu yalikuwepo dsm wengi wao walikuwa waislamu,Nyerere bila hao waislamu asingepata nauli ya kufanyia shughuli za Tanu na hata kwenda nje ya nchi UNO kuomba uhuru wa Tanganyika.we jamaa ni mtu hatari sana, punguza upotoshaji na kujaribu kuwachonganisha waislamu na imani zingine.
 
Historia unaisomea wapi wewe?unasema mkwawa alikuwa mwislamu au nimekusoma vibaya?kama kweli alikuwa mwislamu nionyeshe msikiti alioujenga mkwawa au alipokuwa anaabudu hiyo dini ya uislamu? Na kuhusu kinjekitile ngwale a.k.a bokero hakuwahi kuwa mwislamu alikuwa mganga maarufu anayefuata mila za kiafrika hizo taarifa sijui umezitoa wapi ningeomba unithibitishie pia. Na hizi habari za waislamu kukataa uhuru, sio wote waliokataa, kwani chama cha Tanu ambayo makao makuu yalikuwepo dsm wengi wao walikuwa waislamu,Nyerere bila hao waislamu asingepata nauli ya kufanyia shughuli za Tanu na hata kwenda nje ya nchi UNO kuomba uhuru wa Tanganyika.we jamaa ni mtu hatari sana, punguza upotoshaji na kujaribu kuwachonganisha waislamu na imani zingine.
Wewe kenge kweli ,kwani waislam sio waganga?hao jamaa majina yao ya kiislam yalifichwa na Wanahistoria waliorubuniwa na waarabu ili kujenga taswira kuwa vita za wale jamaa jamaa zilikuwa na kumkomboa mwafrica na si kkugombea akuuza waafrica .Wana Kalenda wenyewe wanaamini Mkwawa asiye Muislam si Mkwawa halisi,zaidi ya kujiibia.MKwawa alikufa kaijua kiarabu vizuri sana, na sitakuambia jina la KIislam la Mkwawa ,kwa vile najua hujafika Kalenga Punda wewe.Kinjekitile ukitaka mjua yeye na wayao wenzake Kasome Historia upande wa Malawi na kwanini wamalawi hawatotupenda wala kutuamini.Kinje na wenzake wa kiayo waliishi kwa kuwauza watu wa malawi sana na kilichowapa imani ni kwamba wenzao walikuwa makafiri.Hao wamanyema waliogeukia umalaya na TANU baada ya ukoloni pamoja na sura zao mbaya walidharau wengine na kuwauza vibaya kwa vile waliwaita makafiri,ndio wanaouza nchi leo tena.
 


kutokana na video hii utaona utamaduni wa wamisri wa kale unavyofanana na makabila mengi ya africa nywele, vitu, technology, ujenzi wa nyumba za kifalme mfano tomb of askia mohamed na kadhalika.

Kubwa tujifunze mambo ya kwetu tuliyofanya na lingine anayedhani kwamba mambo yanayoonekana misri yalifanywa watu wengine ambao sio black skined people ni mwongo mkubwa na baadhi ya wazungu wanadhani kwa kututangaza vibaya duniani kwamba hatujawahi kuchangia katika ustaarabu wa dunia huu ndio wakati muafaka wa kuwaambia bila kupepesa macho.

hii ni darasa lingine ambalo nimependa tuelimishane baadhi ya mambo ya kwetu yalifichwa usoni mwa dunia


whites they re-create world history,they delete in the history,black race,why original people in the worlds are BLACKS,australia aborogines who are blacks,native Egyptians who live in the desert are blacks,alexander the great broke Pharaoh of Gizza statute nose after realising t was flat african,black jews in ethiopia and malawi,native indians are blacks so called burush,from bengal,NAZI aryans did a research to find out why Blacks are supreme race!
 
Last edited by a moderator:
Wewe kenge kweli ,kwani waislam sio waganga?hao jamaa majina yao ya kiislam yalifichwa na Wanahistoria waliorubuniwa na waarabu ili kujenga taswira kuwa vita za wale jamaa jamaa zilikuwa na kumkomboa mwafrica na si kkugombea akuuza waafrica .Wana Kalenda wenyewe wanaamini Mkwawa asiye Muislam si Mkwawa halisi,zaidi ya kujiibia.MKwawa alikufa kaijua kiarabu vizuri sana, na sitakuambia jina la KIislam la Mkwawa ,kwa vile najua hujafika Kalenga Punda wewe.Kinjekitile ukitaka mjua yeye na wayao wenzake Kasome Historia upande wa Malawi na kwanini wamalawi hawatotupenda wala kutuamini.Kinje na wenzake wa kiayo waliishi kwa kuwauza watu wa malawi sana na kilichowapa imani ni kwamba wenzao walikuwa makafiri.Hao wamanyema waliogeukia umalaya na TANU baada ya ukoloni pamoja na sura zao mbaya walidharau wengine na kuwauza vibaya kwa vile waliwaita makafiri,ndio wanaouza nchi leo tena.

nani kakuambia hamna waganga wakristo au waganga wapagani?unadhani kila mganga lazima awe mwislamu,una akili finyu,unajaribu kutushawishi visivyokuwepo ,akina mkwawa na kinjekitile walijaribu kupambana na mkoloni ila walishindwa,hao unaodhani wangekuja kukutetea wewe ndio walikuwa wakoloni,nawachukia sana wamewatesa wazee wetu ,huo utumwa unaoongelea kwa kukukuweka kumbukumbu nzuri hao watumwa ndio wamarekan weusi,wabrazil nk ambao walikuwa wanatawaliwa na mzungu kwa njia ya utumwa ,kwahiyo ukweli ni kwamba ni mzungu ndiye aliyetutesa,kwenye utumwa,na akatutesa kipindi cha ukoloni. achana fikra zilizodumaa kwajili ya kulishwa elimu ya mkolon wakati wakristo wenyewe ndio wakoloni,jaribu kukua kifikra na uache lugha mbovu
 
Back
Top Bottom