Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.
Analo hilo kaka. Nadhani atakuwa ameshakimbia tehtehtehheheheh jamaa kachokoza beijing . acha niikimbie hii sredi kwa maslahi ya PM.
Sio yeye jama bali ni Wakolosai 3:18-19 " Enyi akina mama watiini waume zenu, kwan ndivyo apendavyo bwana. Nany waume wapendeni wake zenu na msiwe wakali kwao".
halafu huo utii anatakiwa autoe mwanamke tu coz kaumbwa cjui katengenezwa na udongo so ha deserve cjui kutiiwa....mweh
ivi umetumia somo gani la hojaji ya utii na udongo...........?????sjui mbavu sjui sjui nini
yan haupo kimataifa wala kimaandiko ..upo vuguvugu sana .
ebu kaogeshe ubongo wako kabla ya kutaka kudhadhalisha wbnadamu wenzako kwa itikad ya jinsia
we una matatioz ya akili na inaonekana una bfu na mkeo ndo mana heshima wala adabu hakup hata kdg wabak kulalamika tu
jiheshimu mkeo atakuheshimu
makorokocho ya mkeo kukosa adabu haisababishi uanze kuhesabu toka kwenye udongo,ubavu ,kisigino sjui nini yahussu????
kwan we una adabu,utii?
umeumbwa nanini?
hamna cha kuchunguza saikolojia wala nini, jamaa kajimix kwa kugeneralize, angespecify kwamba baadhi ya wanawake (au mke wangu :sorry: coz cjui kama ameoa) ukisema mwanamke i.e. yeyote unamjumlisha na mama alokuzaa coz naye ni mwanamke, sijui kama unanisoma fresh mkuu Papa Mopao.Nimechunguza majibu yote nimegundua hakuna hata Mbeijing mmoja katoa jibu ambalo ni positive na la kumsaidia jamaa zaidi ya kejeli,wapwaz wote wametoa majibu kwa uelewa wao na si jinsia yao.
Jamaa hapa anachunguza saikolojia zenu,habari ndo hiyo!!!
bora umewaona naona wanazunguka mbuyu tu.Nimechunguza majibu yote nimegundua hakuna hata Mbeijing mmoja katoa jibu ambalo ni positive na la kumsaidia jamaa zaidi ya kejeli,wapwaz wote wametoa majibu kwa uelewa wao na si jinsia yao.
Jamaa hapa anachunguza saikolojia zenu,habari ndo hiyo!!!
bora umewaona naona wanazunguka mbuyu tu.
hamna cha kuchunguza saikolojia wala nini, jamaa kajimix kwa kugeneralize, angespecify kwamba baadhi ya wanawake (au mke wangu :sorry: coz cjui kama ameoa) ukisema mwanamke i.e. yeyote unamjumlisha na mama alokuzaa coz naye ni mwanamke, sijui kama unanisoma fresh mkuu Papa Mopao.
so nafikiri post ya jamaa ina problem kidogo labda aiedit.😛reggers::A S thumbs_up:
Wana JF
Hivi mwanamke kaumbwa kutokana na Udongo au Ubavu wa Mumewe?
kama ni Udongo mbona hawana utii kama ule waliopewa viumbe viumbavyo kwa udongo,
na kama ni Ubavu wa Mume mbona hawana subira wala utii kwa waume (mbavu) wao.