Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Ukweli ni kuwa hakuna kijana aliyeathirika na nguvu za kiume
Kuna mambo kadhaa hufanya mtu aonekane hana uwezo wa tendo ipasavyo.
1: Hili suala linategemea sana ushirikiano wa wote wawili, wanawake wengi huacha mwanaume ndio afanye kila kitu, kumuandaa mwanamke na anapoona tayari basi achome ndani, mwanamke atalala tu kama gogo vile, kwa waliokutana na watoto watundu wanaelewa nachosema.
2: Kulala na mwanamke ambae hakuvutii, unakuwa umepelekwa na tamaa tu lakini mwanamke ukimuangalia unaona kabisa hapa nimejichanganya.
3. Ongezea na wewe.
NB: Binafsi nimekutana na watu niliokesha nao saa 4 usiku mpaka 11 alfajiri hakuna kulala. Na kuwa watu hata hilo goli moja najilazimisha kwa vile tu tushaingia chemba, kulinda heshima na utu maana hawakawii kutangaza jogoo hawiki.
Kuna mambo kadhaa hufanya mtu aonekane hana uwezo wa tendo ipasavyo.
1: Hili suala linategemea sana ushirikiano wa wote wawili, wanawake wengi huacha mwanaume ndio afanye kila kitu, kumuandaa mwanamke na anapoona tayari basi achome ndani, mwanamke atalala tu kama gogo vile, kwa waliokutana na watoto watundu wanaelewa nachosema.
2: Kulala na mwanamke ambae hakuvutii, unakuwa umepelekwa na tamaa tu lakini mwanamke ukimuangalia unaona kabisa hapa nimejichanganya.
3. Ongezea na wewe.
NB: Binafsi nimekutana na watu niliokesha nao saa 4 usiku mpaka 11 alfajiri hakuna kulala. Na kuwa watu hata hilo goli moja najilazimisha kwa vile tu tushaingia chemba, kulinda heshima na utu maana hawakawii kutangaza jogoo hawiki.