Inakaribia mwaka mmoja sasa mshikaji wangu wa karibu kabisa alipofika home na kuniambia kuhusu JPM kutaka kujenga nyumba za bei za nafuu kwa ajili ya wavuvi huko wilayani Kigamboni!! Ndugu yangu huyu akanieleza kwamba, wavuvi hao walitakiwa kufungua akaunti benki na kuweka kiwango cha pesa kisichofika hata 300K ili wawepo kwenye huo mradi.
Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu yangu huyu, idadi ya wavuvi waliojitokeza ilikuwa chache kuchangamkia hiyo fursa adimu, na ili kufikia malengo, coordinators wakalazimika kuwaingiza hata watu wengine ili mradi tu wawe kwenye mnyororo wa uvuvi, na magumashi mengine kibao!
Ndugu yangu huyu alinijia home ili kunitaka nami niingie!! Hata hivyo, hapo hapo nikamwambia wazi kwamba siamini hilo suala hata punje licha ya kunionesha mapicha picha ya kuchora kuhusu mradi wenyewe!! Ndugu yangu hakuacha kunikumbusha kila wakati kuhusu hiyo fursa!!! Mwisho majuzi akanikumbusha tena na kudai hivi sasa walengwa wanatakiwa kutoa pesa ndogo tu!
Bado sijashawishika, ingawaje nimefikia kujiuliza ni nini hasa kinamfanya mshikaji aamini uwepo wa huo mradi!!! Namjua, wala hana nia mbaya kwangu lakini nahisi ni kama sounds alizopigwa zimemuingia hasa!! Na kwa jinsi anavyonikumbushia kila wakati nahisi ni kama another form of network marketing!!
Kwa upande mwingine, angalau kwa asilimia chache, na kwa kuangalia msisitizo wa mshikaji, wakati mwingine huwa najiuliza "inawezekana hiyo kitu ni real hata kama hainiingii akilini"?!
Swali hilo la mwisho ndilo limenifanya nije jamvini ili kudodosa!! Je, kuna mtu yeyote anayefahamu lolote kuhusu huu "mradi"?!
Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu yangu huyu, idadi ya wavuvi waliojitokeza ilikuwa chache kuchangamkia hiyo fursa adimu, na ili kufikia malengo, coordinators wakalazimika kuwaingiza hata watu wengine ili mradi tu wawe kwenye mnyororo wa uvuvi, na magumashi mengine kibao!
Ndugu yangu huyu alinijia home ili kunitaka nami niingie!! Hata hivyo, hapo hapo nikamwambia wazi kwamba siamini hilo suala hata punje licha ya kunionesha mapicha picha ya kuchora kuhusu mradi wenyewe!! Ndugu yangu hakuacha kunikumbusha kila wakati kuhusu hiyo fursa!!! Mwisho majuzi akanikumbusha tena na kudai hivi sasa walengwa wanatakiwa kutoa pesa ndogo tu!
Bado sijashawishika, ingawaje nimefikia kujiuliza ni nini hasa kinamfanya mshikaji aamini uwepo wa huo mradi!!! Namjua, wala hana nia mbaya kwangu lakini nahisi ni kama sounds alizopigwa zimemuingia hasa!! Na kwa jinsi anavyonikumbushia kila wakati nahisi ni kama another form of network marketing!!
Kwa upande mwingine, angalau kwa asilimia chache, na kwa kuangalia msisitizo wa mshikaji, wakati mwingine huwa najiuliza "inawezekana hiyo kitu ni real hata kama hainiingii akilini"?!
Swali hilo la mwisho ndilo limenifanya nije jamvini ili kudodosa!! Je, kuna mtu yeyote anayefahamu lolote kuhusu huu "mradi"?!