Ukweli kuhusu on line/distance learning courses

Samvurah

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
532
Reaction score
515
Salaam jf..., naomba msaada wa kujua ukweli kuhusu hizi course zinatolewa na vyuo vya nje.Nimepata admission ya kusoma masters degree on line.Mwenye ufahamu zaidi anisaidie maswali haya yanayo ni tatiza
1.ukimaliza sokoni/ajira unatambulika vizuri kama aliye attend regular
2.mitihani inafanyikaje?
3.unapewa guide ambaye utakuwa unawasiliana naye?
4. Utajuaje chuo ulichoomba kinatambulika kimataifa
natanguliza shukrani ......,nawatakieni pasaka njema
 
Mawaziri kibao na watendaji serikalini wanazo hizo za ONLINE, wala usihofu ili mradi na wewe uwemo kwenye "System". Ila kiboko yao ni KAINERUGABA MSEMAKWELI na toleo lake la MAFISADI WA ELIMU
 
Thank you dafity... But sijaelewa kainerugaba msemakweli, unamaana gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…