n BBC mkuu?
MUHAS hatupokei watu kama nyie pamoja na kupendelewa na kushushiwa marks bado mnapata C na D enzi zetu I mean kuanzia mwaka jana kurudi nyuma kwa matokeo yako ungekuwa na div 3 ya 13 au ya 14 kama cjakosea sasa MUHAS ndo wakuchukue kwa matokeo hayomi nina hz alama
Phy-D
chem-B+
Bios-B
Vp hapo naweza ingia muhimbili (Doctor of medicine)
MUHAS hatupokei watu kama nyie pamoja na kupendelewa na kushushiwa marks bado mnapata C na D enzi zetu I mean kuanzia mwaka jana kurudi nyuma kwa matokeo yako ungekuwa na div 3 ya 13 au ya 14 kama cjakosea sasa MUHAS ndo wakuchukue kwa matokeo hayo
Dogo vyuo kama MUHAS,KCMC,Bugando hupati kwa hayo matokeo yakomi nina hz alama
Phy-D
chem-B+
Bios-B
Vp hapo naweza ingia muhimbili (Doctor of medicine)
EEE una point 3. jiandae na udom
Yes. its 2 points but from 2 subjects, not three subjectsBCD,B=3,C=2,D=1,BCD=3+2+1=6,since 6>2 hapo ni poa mkuu.
KUMBUKA MINIMUM ADMISION IS 2 POINTS.
BCD,B=3,C=2,D=1,BCD=3+2+1=6,since 6>2 hapo ni poa mkuu.
KUMBUKA MINIMUM ADMISION IS 2 POINTS.
Kutokana na mkanganyiko unaoendelea kuhusu matokeo ya kidato cha sita 2014,tuangalie kwanza TCU wanataka nini.
ukiangalia ukurasa wa 9(chini kabisa)wa kitabu cha TCU unasema kwamba:
Note: The programme requirements in this book use the Old Grading System to applicants who
completed Form Four and Form six in 1988-2013. For Form Six applicants who will complete their
studies in 2014, their grades will be translated into Old Grading System. The translation is illustrated in
Table 3 and will be used for admission purposes only. For the new grading system principal pass is between A' and D.
ANGALIA TENA TABLE 3 ILIYOPO UKURASA WA 10 INASEMAJE:
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]new grading system(2014 onward)[/TD]
[TD]old grading system(1988-2013)[/TD]
[TD]weight(using old system)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] A[/TD]
[TD] A[/TD]
[TD] 5[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] B+[/TD]
[TD] B[/TD]
[TD] 4[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] B[/TD]
[TD] C[/TD]
[TD] 3[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] C[/TD]
[TD] D[/TD]
[TD] 2[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] D[/TD]
[TD] E[/TD]
[TD] 1[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] E[/TD]
[TD] S[/TD]
[TD] 0.5[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] F[/TD]
[TD] F[/TD]
[TD] 0[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
kwa yeyote mwenye hoja au swali tunaweza kujadili kwenye huu uzi.
Sijaangalia hii new system vizuri. Je kuna S yaani subsidiary pass kwenye new system??? Kama jibu ni hakuna basi hakuna matata.
UPO SAHIHI MKUU,LAKINI MAANA YA MINIMUM ADMISSION POINTS IS 2 WITH ATLEAST 2 PRINCIPAL PASS NI HII HAPA.Acha kudanganya watu wewe, chuo kikuu zinahitajika prinsipo pass mbili, na hata kuhesabu unahesabu mbili ulizofanya vizuri, kwa hiyo huyo yuko na 5pts bana
kwa maana hiyo kuna wenye division 4 wata'join chuo?
mfano mwenye BEE?
Mbona Necta Walishatoa mchanganuo Kwamba Atleast Anayeweza Kuingia Chuo Awe na CCD...TCU WALIITISHA SEMINAR DIAMOND JUBILEE MWEZI WA 6