UKWELI KUHUSU UBAKAJI

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
Wakuu
Leo kwenye taarifa ya habari azam tv ,kuna habari wamerusha ya mtoto wa darasa la 3 huko ruvuma kua alibakwa na kupelekea kupata mimba,
Wazazi wake wala walimu hawakugundua hilo mpaka mimba ilivyofikisha miezi minne ,sasa wakuu swali langu ni hivi mimi sijaelewa inawezekana vipi mtoto abakwe na mtu mzima na arudi kwao wasigundue ? Hata kwa kumuangalia anavotembea tu ? Tunafahamu mtoto akibakwa anapsta maumivu makali je hii imekuaje mtoto huyu hakupata ?

Kwa kuongezea pia,kuna doc moja niliona humu JF ya kesi ya babu seya ,kulingana nayo wale watoto pia hivo hivo walibakwa karibu kila siku na walirudi kwao bila kugundulika
Je wakuu hili limekaaje ? Personally hua sielewi kabisa ,mtoto kubakwa na mtu mzima na kurudi home bila kugundulika
 
DUH! KUNA UWEZEKANO MKUBWA WA HUYO MBAKAJI AKIPATIKANA NA HATIA KUACHIWA HURU KAMA BABU SEYA MAANA WANASHERIA WAMESHAPATA SEHEMU YA KUQUOTE
 
Kuhusu babu seya ,tibaigana alishasema kuna mzazi wa kati ya waasilika alishalipoti kituo cha urafiki,kuhusu kuhalibiwa kwa mtoto wake ndio hatua za ufuatiliaji zikaanza. Over!!!
 
DUH! KUNA UWEZEKANO MKUBWA WA HUYO MBAKAJI AKIPATIKANA NA HATIA KUACHIWA HURU KAMA BABU SEYA MAANA WANASHERIA WAMESHAPATA SEHEMU YA KUQUOTE
Ya Babu Seya siyo precedent,ingekuwa hukumu ya jaji,principle of judgement au ratio ingetumika lkn huu ni msamaha wa rais,hauwezi tumika mahakamani.
 
Kuhusu babu seya ,tibaigana alishasema kuna mzazi wa kati ya waasilika alishalipoti kituo cha urafiki,kuhusu kuhalibiwa kwa mtoto wake ndio hatua za ufuatiliaji zikaanza. Over!!!
Ahsante kwa taarifa mkuu
 
Tatizo kubwa Ulimwengu huu ni WANAUME wengi hawajizuii katika matamanio yao !!!! yaani cases kila uchao...
 
Ya Babu Seya siyo precedent,ingekuwa hukumu ya jaji,principle of judgement au ratio ingetumika lkn huu ni msamaha wa rais,hauwezi tumika mahakamani.
tatizo ni kwamba kutakuwa na trend ya kuwasamehe wabakaji kwakuwa tayari njia imeoneshwa na watu watajuwa kuwa kumbe inawezekana.
 
tatizo ni kwamba kutakuwa na trend ya kuwasamehe wabakaji kwakuwa tayari njia imeoneshwa na watu watajuwa kuwa kumbe inawezekana.
Anayesamehe ni rais tuu,hiyo trend itafuatwa na Nani? Kama rais akiamua kufanya hivyo hakuna wa kumzuia.Mbona kwa wauwaji kina Matonya hamsemi? Au kwa kuwa Babu Seya ni mkongo?
tatizo ni kwamba kutakuwa na trend ya kuwasamehe wabakaji kwakuwa tayari njia imeoneshwa na watu watajuwa kuwa kumbe inawezekana.
Anayesamehe ni rais tuu,hiyo trend itafuatwa na Nani? Kama rais aki
 
Anayesamehe ni rais tuu,hiyo trend itafuatwa na Nani? Kama rais akiamua kufanya hivyo hakuna wa kumzuia.Mbona kwa wauwaji kina Matonya hamsemi? Au kwa kuwa Babu Seya ni mkongo?

Anayesamehe ni rais tuu,hiyo trend itafuatwa na Nani? Kama rais aki
unajua kwa nini marais wengi waliopita hawakuwasamehe wabakaji na wauaji?. kuna uwezekano mkubwa trend ikaendelea iwe kwa rais aliyopo au atakaekuja kwa vile washauri wake wa sheria hawataona ugumu kumshauri kuwasamehe waliobaka kwa kuwa ni kitu ambacho kimeshafanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…