Ukweli kuhusu UKIMWI

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
3,211
Reaction score
993
Ukweli Kuhusu UKIMWI ni kitabu kinachotoa maelezo yanayoipinga dhana inayosema ugonjwa wa UKIMWI husababishwa na Virusi Vya Ukimwi (V.V.U) kupitia maandiko kadhaa ambayo yameshaandikwa na wanasayansi wengine duniani kwa kutumia lugha ya Kiswahili katika mfumo kwa kieletroniki na kusomwa katika kompyuta, tablet na baadhi ya simu zenye uwezo wa kusoma vitabu katika mfumo wa kieletroniki.

Nunua kitabu hiki sasa na upate majibu ya maswali hayo hapo juu.
 
Hivi na kampeni zote hizi kuna mtu ambaye haufahamu ukimwi na VVU? Sema sikio la kufa halisikii dawa!!!! Tunajua mambo yote sana ila sasa ile starehe yake watu tunajisahau sana. Gonjwa limekamatwa pabaya, pale watu tunapenda!!!
 
Hivi na kampeni zote hizi kuna mtu ambaye haufahamu ukimwi na VVU? Sema sikio la kufa halisikii dawa!!!! Tunajua mambo yote sana ila sasa ile starehe yake watu tunajisahau sana. Gonjwa limekamatwa pabaya, pale watu tunapenda!!!

Mkuu, nime-edit post yangu maana nimegunduwa jana hamukuweza kunielewa vizuri.
 
Dah sikihitaji maana kitakuwa na lengo la kupotosha jamii, kama kinapingana na dhana kuwa V.V.U ndiye msababishi wa UKIMWI basi si kitabu chema.
 
Dah sikihitaji maana kitakuwa na lengo la kupotosha jamii, kama kinapingana na dhana kuwa V.V.U ndiye msababishi wa UKIMWI basi si kitabu chema.

Huo ni mtazamo wako na hakuna wa kukulazimisha.
 
wengi wao hawajui cri ya ukimwi watabaki wanajua huku hawajui gonjwa hili sio lapunguwa ndo kwanzaaaa laongezeka ukiplus na ebola afu ukiangalia magonjwa yote wanayapeleka AFRICA CONTINET.maana ya AIDS ni AMERICAN IDEA DESTROY SEX Kwa kiswahilii mpango wa kiamerika wa kuangamiza mwingiliano kati ya mwanaume na mwanamke na hii wamarekani hawapendi.to be continued.........
 

Mkuu kirahisi hivyo? Nilidhani ungeeleza mwandishi wa hicho kitabu Ana sifa zipi, elimu yake, amewahi kufanya nini na wapi .
Pia ingekua vizuri kuonyesha kama kitabu kimepitishwa na Nani.(approved) hapo ndiyo Mtu anaweza akatoa 5000 yake kununua!
 
Mkuu kirahisi hivyo? Nilidhani ungeeleza mwandishi wa hicho kitabu Ana sifa zipi, elimu yake, amewahi kufanya nini na wapi .
Pia ingekua vizuri kuonyesha kama kitabu kimepitishwa na Nani.(approved) hapo ndiyo Mtu anaweza akatoa 5000 yake kununua!

Huhitaji kulipa hata shilingi 10, ni bure tu nenda kasome hapa
 
Kwa kifupi.
Mtazamo wangu.
Ni kawaida kabisa scientific process zote kupita michujo ya akili na test za wanasayansi wengi vizazi na vizazi.
Tunajua wote.
Na hakuna kati ya wanasayansi wote waliotajwa kwny hiko kitabu anaeinga ukweli rahisi. Au fact.


-UKIMWI hauna tiba
-HIV huambukizana kwa majimaji ya mwili hasa damu
-Uwepo wa HIV hupelekea ugumu wa kupona magonjwa ya kawaida kuwa mgumu zaidi
-kuwa na HIV sio terminal disease wala any disease by the way.

Asante kwa kitabu japo msome wale wenye interest ya kujua migongano ya kawaida ya wanasayansi katika kutafuta ukweli hadi chembe ndogo ili kujibu maswali yote. Kwa sasa bado haujapatikana.

Wote tujichunge tusiambukizwe hivyo virui au kama tunavyo tusiambukize wengine hasa vizazi vijavyo.
Ni kirusi ambacho kwa lifestyle yetu ya lishe ndogo, kupata na kuishi na maambukizo mengi ya kila aina km tb pneumonia nk inakuwa ngumu sana kupona. Ndio sababu unatupukutisha. Kwa kupata kinachojulikana kama UKIMWI.
 

The AIDS Indictment
AIDS Epidemic Co-Factors...
Recreational Chemical Abuse
False Positive HIV Tests
Commercial Greed
Pharmaceutical Genocide
Medical Research Blunders
Government Incompetence

Hundreds of Thousands Dying Needlessly of AIDS

AIDS is Easily Reversible
HIV Does Not Cause AIDS
AIDS is NOT Contagious
 
Wewe acha kudanganya watu mkuu, wee fanya biaashara yako polepole tu.

Mbona hili jambo tumeshalijadili mara nyingi tu hapa jf? Labda wewe ni Mgeni wa jukwaa hili. Nikiwa kwenye PC nitakupa link ya hapa hapa jf. Endelea kukubali kila unachoambiwa Na mzungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…