lodirofaa
Member
- Jul 6, 2021
- 25
- 62
Kuna hi kauli mtaani huna tena msemaji atakaekuja Kama haji manara Simba wengine wanasema Simba haitafanikiwa kwakuwa haji hayupo
Tuanze hapa hivi chukua mashabiki Mia wa real Madrid alafu waulize wanamjua msemaji wa timu yao? Sizani Kama Kuna anaemjua kma wapo wachache LAKINI timu haifanikiwi?
Timu ili ifanikiwe inahitaji pesa, uongozi mzuri na good scouting basi msemaji ni mtoa taarifa tu
Kilichopo bongo tulichelewa kwa kuwategemea wasemaji wenye mbwembwe kutuaminisha kuwa time zetu ni Bora Kama Simba itakuwa na pesa,uongozi Bora, na kamati nzuri ya usajili itafanikiwa bila Manara
Tukirudi kwenye boss Wana Msimbazi boss hatuna tumepigwa haiwezekani mtu anapata faida alafu ansjifanya hapati faida Sasa anasubiri Nini? Mo anatengeneza mazingira ya kuonekana bila yeye hatuna chochote ni uongo faida anapata Tena nyiiingi angalia jezi ya Simba alivyoijaza matangazo
Pia ikumbukwe mo sio mzamini mo ni mwanahisa wa Simba yupo pale kupata faida sip kutisaidia pia akiicha Simba saivi Simba ipo mfumo wa hisa unampata mtu mwingine Seema wengi hapo hawajaelewa
Leo mo akiondoka wawekezaji wengine watakuja kwakuwa Simba ni kubwa saizi
Tuanze hapa hivi chukua mashabiki Mia wa real Madrid alafu waulize wanamjua msemaji wa timu yao? Sizani Kama Kuna anaemjua kma wapo wachache LAKINI timu haifanikiwi?
Timu ili ifanikiwe inahitaji pesa, uongozi mzuri na good scouting basi msemaji ni mtoa taarifa tu
Kilichopo bongo tulichelewa kwa kuwategemea wasemaji wenye mbwembwe kutuaminisha kuwa time zetu ni Bora Kama Simba itakuwa na pesa,uongozi Bora, na kamati nzuri ya usajili itafanikiwa bila Manara
Tukirudi kwenye boss Wana Msimbazi boss hatuna tumepigwa haiwezekani mtu anapata faida alafu ansjifanya hapati faida Sasa anasubiri Nini? Mo anatengeneza mazingira ya kuonekana bila yeye hatuna chochote ni uongo faida anapata Tena nyiiingi angalia jezi ya Simba alivyoijaza matangazo
Pia ikumbukwe mo sio mzamini mo ni mwanahisa wa Simba yupo pale kupata faida sip kutisaidia pia akiicha Simba saivi Simba ipo mfumo wa hisa unampata mtu mwingine Seema wengi hapo hawajaelewa
Leo mo akiondoka wawekezaji wengine watakuja kwakuwa Simba ni kubwa saizi