Ukweli Kuhusu Vitunguu

SheriaE

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
606
Reaction score
447
Za mihangaiko jamani,


Samahani kuna maneno niliyowahi kusikia kuhusu vitunguu je yana ukweli wowote.

kama;
1. Vitunguu vinasababisha mtu kuwa mrefu.
2. Vitunguu vinasababisha harufu mbaya kinywani.

NB:Haswa vikiliwa vibichi kitu kama hiko.

Ni haya tu wakuu sijui kama kuna mengine.
 
mmmh hizi tafiti hizi,ina maana wale wafupi walikuwa hawaweki vitunguu kwenye mboga?AU UNAMAANISHA UREFU UPi???
 
Ni kweli Vitunguu husababisha Harufu mbaya kinywani kutokana na kua na kemikali ya sulfoxide inayobadilishwa nakua sulfur na ndio inaaminika kuwa chanzo cha Harufu mbaya,sulphoxide hii hii pia inabadilika yenyewe na kua ropenatio-s-oxide ndio inayosababisha mtu kutoa machozi pindi anapokata kitunguu ,
Ikumbukwe kemikali za sulphur Mara nyingi huwa na Harufu mbaya ndio Maana hata kujamba hua kunaharufu mbaya Kwani asilimia kubwa ya ushuzi hua ni sulfur dioxide ambayo yenyewe ni kemikali inayoweza kisababisha kansa kwa hiyo ni afya kutoa kemikali hiyo mwilini

Ya pili ni kuhusu kua mrefu hakuna uhusiano wa moja kwa moja Kati ya kitunguu na kua mrefu au mfupi, urefu na ufupi ni urithi kutoka kwa baba Kwani vitu Vikuu ambayo vinasaba vya baba vinachangia kwenye mwili wa mototo ni kimo /height na jinsia /sex ila kwenye kitunguu hakuna kemikali ambayo moja kwa moja inaweza kisababisha ukuaji au uzalishaji wa homoni za ukuaji
Kemikali zilizopo kwenye kitunguu ni vitamin c, folic acid au vitamin b9 hii inasaidia ukuaji wa seli na mgawanyiko wa seli, pia kitunguu kina protini nyingi na flavanoids ambazo hua ni ant oxidant
note😛rotein na folic acid hujenga mwili na kuzalisha seli ila haiathiri urefu wa mtu. Challange zinakubalika hivyo mwenye mawazo zaid unakaribishwa thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona kule morogoro kwa walugulu vinalimwa sana alafu wale jamaa ni wafupi vile.... au ni urefu wa kitu gani vinaongeza
inaongeza urefu was nini isije kuwa deal mkuu nkapata pesa
mmmh hizi tafiti hizi,ina maana wale wafupi walikuwa hawaweki vitunguu kwenye mboga?AU UNAMAANISHA UREFU UPi???
Jimmie Gatsby ni urefu wa mwili me kuna pahala nilisikia ila ni kama hakuna ukweli.
Perfectz sio kwenye mboga yaani vikiliwa vibichi.
Fundi Bishoo ni wa mwili tu mkuu so kingine, kwamba ni specific kwa kiungu fulani la hasha.

all in all inawezekana hakuna ukweli me nilitaka kupata tu ukweli kuhusu haya, pia kufahama kama kuna mengine.
 
owky mkuu nimekupata... ila hyo tafiti nna mashaka nayo 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…