Jamani kuna tetesi kuwa baadhi ya sehemu za Tanganyika ni milki za Zanzibar na ndio maana tunaogopa kuvunja muungano na moja ya maeneo yanayoongelewa ni jiji la Dar es Salaam na baadhi ya miji kama Kilwa,Mafia n.k
Jamani mwenye ukweli kuhusu hizi tetesi anifahamishe.
Jamani mwenye ukweli kuhusu hizi tetesi anifahamishe.