Ukweli kukamatwa kwa Matola, Vurugu walizofanyiwa Simba SC, Mkuu wa Mkoa Mwanza, Said Mtanda atajwa kwenye sakata hilo

Hilo jamaa jeusi kama jambazi sijui limekuwaje mkuu wa mkoa,anaonekana amevia akili hivi
 
Ndiyo maana mbumbumbu wana hasira kali! Kumbe mwenyekiti wao wa kamati ya ufundi alikamatwa na polisi!
 
Ange kataa kutumia na kuweka ushabiki pembeni, asingekuwa anahangaika kujiosha hivi!
 
Nani alitoa amri wakamatwe?.
 
Huna akili wewe Utopolo nyamaza, wenye akili ni wawili tu Yanga
Ndiyo maana mbumbumbu wana hasira kali! Kumbe mwenyekiti wao wa kamati ya ufundi alikamatwa na polisi!
 
Huna akili wewe Utopolo nyamaza, wenye akili ni wawili tu Yanga
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Huna akili wewe Utopolo nyamaza, wenye akili ni wawili tu Yanga.

Wakiongea hao nitawasikiliza. Sio manyani (katika sauti ya kocha Luke)
Rage alikuwa sahihi kwa 100%
 
Huna akili wewe Utopolo nyamaza, wenye akili ni wawili tu Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…