Pamoja na mtazamo huo,Yanga wakati tunapitia wakati mgumu Azam pamoja na kuwa vizuri kiuchumi bado Yanga tulikuwa tunachallenge titles kuliko hata Azam..........Wengi mnazungumza mafanikio ya kutwaa taji mara nne mfululizo ya simba sc pasi na kutoa shukrani stahiki kwa Azam FC.
Ikumbukwe kuwa Azam FC waliwahisani
wachezaji wa bure Simba SC. Wachezaji hao ni
1. Manula
2. Wawa
3. Nyoni
Hawa wachezaji wana mchango mkubwa sana kwene ubingwa wa simba sc wa miaka minne.
Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Walizungumzwa sana wakina miqquieson, chama na kagere.
Ila kuna watu nyuma ya pazia ambao walifanikisha ulinzi pakubwa.
Kwa nini hawakuwapa Yanga?Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Wawa alitokea azam kwenda simba? Sidhani aiseeWengi mnazungumza mafanikio ya kutwaa taji mara nne mfululizo ya simba sc pasi na kutoa shukrani stahiki kwa Azam FC.
Ikumbukwe kuwa Azam FC waliwahisani
wachezaji wa bure Simba SC. Wachezaji hao ni
1. Manula
2. Wawa
3. Nyoni
Hawa wachezaji wana mchango mkubwa sana kwene ubingwa wa simba sc wa miaka minne.
Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Walizungumzwa sana wakina miqquieson, chama na kagere.
Ila kuna watu nyuma ya pazia ambao walifanikisha ulinzi pakubwa.
... kwamba Yanga inapaswa kuwashukuru sana AS Vita Club ya DRC?Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Mbona hamjawashukuru As vita kwa wachezaji wa mkopo ambao wamewawezesha kutwaa ubingwa mwaka huu?Wengi mnazungumza mafanikio ya kutwaa taji mara nne mfululizo ya simba sc pasi na kutoa shukrani stahiki kwa Azam FC.
Ikumbukwe kuwa Azam FC waliwahisani wachezaji wa bure Simba SC. Wachezaji hao ni
1. Manula
2. Wawa
3. Nyoni
Hawa wachezaji wana mchango mkubwa sana kwene ubingwa wa simba sc wa miaka minne.
Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Walizungumzwa sana wakina miqquieson, chama na kagere.
Ila kuna watu nyuma ya pazia ambao walifanikisha ulinzi pakubwa.
Wengi mnazungumza mafanikio ya kutwaa taji mara nne mfululizo ya simba sc pasi na kutoa shukrani stahiki kwa Azam FC.
Ikumbukwe kuwa Azam FC waliwahisani wachezaji wa bure Simba SC. Wachezaji hao ni
1. Manula
2. Wawa
3. Nyoni
Hawa wachezaji wana mchango mkubwa sana kwene ubingwa wa simba sc wa miaka minne.
Simba inapashwa kuwashukuru sana Azam FC kwa kuwapa wachezaji hawa bure ili muweze kubeba ubingwa.
Walizungumzwa sana wakina miqquieson, chama na kagere.
Ila kuna watu nyuma ya pazia ambao walifanikisha ulinzi pakubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaidhalilisha hyo suti kwenye Avatar yako
Kuna sababu zingine nyingi, kama mchango wa Kocha, Uongozi n.k navyo vina effects katika sokaKama ni hivyo kwann azam alipokuwa na hao wachezaji hakuchukua ubingwa mfululizo mara nne?