Ukweli mchungu ambao mashabiki wa Simba hawataki kuukubali

Ukweli mchungu ambao mashabiki wa Simba hawataki kuukubali

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kwa sasa mna timu ya kawaida sana, Tshabalala, Kapombe, Bocco, Nyoni na Mkude siyo wa miaka minne nyuma, Chama aliyerudi kutoka Morocco siyo yule alieondoka, pengo la Muqquison bado halijazibwa, wachezaji wenu wa kigeni ukiwatoa Innonga karibia wengine wote ni overrated. Usajili wenu ya wachezaji kwa miaka miwili mfululizo imekuwa mbovu sana.

Hapa kati mlijisahau na kujiona wakali kwa sababu kwenye mashindano yote ya ndani na kimataifa hamkukutana na timu za kuwapa upinzani thabiti. Wale wa Malawi na Waangola ni wabovu sana, hawafiki hata nusu ya ubora wa Al Hilal

Hapa bongo napo mkapiga wachovu wa mkiani wakina Dodoma Jiji na wa aina hiyo ila Azam wamefunua ubovu wenu. Jana mlizidiwa kwa kila kitu, sioni mchezaji wenu yoyote ambaye alikosekana jana angeweza kubadilisha matokeo.

Timu yenu inahitaji ukarabati mkubwa sana kufikia ubora wa timu aliyoiacha Pattrick Aussems kuanzia kwa Madam CEO mwenyewe. Na kwa huu moto wa Azam, KMC na Singida Big Stars msimu huu, sina uhakika kama hata tatu bora mtaingia, na Jumapili ni dhidi ya Mtibwa Sugar.

Jiandaeni kisaikolojia kwa lolote!
 
Haaahah,mnajifarij utopolo,litim lenu limejaa mazee ila nyani haoni kundule lake,huyo al hilal alipigwa nne,juzi apo kwao katufunga moja tena ni timu b,token uko kichakan hamtafika mbali levo za kimataifa,timu ina 0.5 point,
 
Akili zako zipo kwenye mwiko,timu ipo grup stage ya CACCL,unatoka ulipotoka,timu ni mbovu hiyo iliyo nzuri iko wapi?shida moja ya shabiki maandaz ni kupenda matokeo ya ushindi badala ya kujua mchezo una matokeo matatu
 
Haaahah,mnajifarij utopolo,litim lenu limejaa mazee ila nyani haoni kundule lake,huyo al hilal alipigwa nne,juzi apo kwao atufunga moja tena ni timu b,token uko kichakan hamtafika mbali levo za kimataifa,timu ina 0.5 point,
Mliwapiga nne kipindi mpo vzr sio sasa hivi jamaa wamefanya investment kubwa sana hata kocha wao sasa hivi rekodi zake kwenye mashindano makubwa ni nzuri iyo timu iliyojaa wazee haijafungwa game za ligi 43 mfulilzo na timu yako ikiwemo
 
Akili zako zipo kwenye mwiko,timu ipo grup stage ya CACCL,unatoka ulipotoka,timu ni mbovu hiyo iliyo nzuri iko wapi?shida moja ya shabiki maandaz ni kupenda matokeo ya ushindi badala ya kujua mchezo una matokeo matatu
Knock out stage unaweza kubahatika kupangiwa na timu mbovu
 
Haaahah,mnajifarij utopolo,litim lenu limejaa mazee ila nyani haoni kundule lake,huyo al hilal alipigwa nne,juzi apo kwao katufunga moja tena ni timu b,token uko kichakan hamtafika mbali levo za kimataifa,timu ina 0.5 point,
huna akili wewe
 
Akili zako zipo kwenye mwiko,timu ipo grup stage ya CACCL,unatoka ulipotoka,timu ni mbovu hiyo iliyo nzuri iko wapi?shida moja ya shabiki maandaz ni kupenda matokeo ya ushindi badala ya kujua mchezo una matokeo matatu
mnaanza kupingana na maneno yenu
 
Knock out stage unaweza kubahatika kupangiwa na timu mbovu
Kama YANGA ILIVYO MBOVU imeishia inapostahili,ukweli ni kuwa SIMBA itafika au kuchukua ubingwa wa Africa wakati timu iliyowekeza kwenye ngonjera na hadithi za kina abunuasi ikichagizwa na vigano na visasili ikiwaza jinsi ya angalau kufika tu makundi,kumbuka SIMBA WAPO SUPER CUP.haya mbelemwikonyumamwiko endelea na majigambo na tenz
 
kama YANGA ILIVYO MBOVU imeishia inapostahili,ukweli ni kuwa SIMBA itafika au kuchukua ubingwa wa Africa wakati timu iliyowekeza kwenye ngonjera na hadithi za kina abunuasi ikichagizwa na vigano na visasili ikiwaza jinsi ya angalau kufika tu makundi,kumbuka SIMBA WAPO SUPER CUP.haya mbelemwikonyumamwiko endelea na majigambo na tenz
Sawa
 
Kila siku nasema kanoute mtoe simba mpeleke KMC hapati number
 
Mliwapiga nne kipindi mpo vzr sio sasa hivi jamaa wamefanya investment kubwa sana hata kocha wao sasa hivi rekodi zake kwenye mashindano makubwa ni nzuri iyo timu iliyojaa wazee haijafungwa game za ligi 43 mfulilzo na timu yako ikiwemo
Bahasha haijawahi mwacha mtu salama,nyie endeleeni na kina alajiga wenu
 
Wateja wa Luc Eymael tangu lini mkawa na akili tofauti na kubweka tu kama manyani?

Simba Yuko group stage CAFCL . Uto ulijaribu tu ukasokomezwa miko nyuma na Aly hilaly . Sasa hivi unasubiri play -off ya CAFCC na utachezea kichapo kwa waarabu .Halafu bila hata aibu unasema simba ni mbovu.

Ama kweli wenye akili utopoloni ni wawili tu , mliobaki ni hamnazo

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sasa mna timu ya kawaida sana, Tshabalala, Kapombe, Bocco, Nyoni na Mkude siyo wa miaka minne nyuma, Chama aliyerudi kutoka Morocco siyo yule alieondoka, pengo la Muqquison bado halijazibwa, wachezaji wenu wa kigeni ukiwatoa Innonga karibia wengine wote ni overrated. Usajili wenu ya wachezaji kwa miaka miwili mfululizo imekuwa mbovu sana.

Hapa kati mlijisahau na kujiona wakali kwa sababu kwenye mashindano yote ya ndani na kimataifa hamkukutana na timu za kuwapa upinzani thabiti. Wale wa Malawi na Waangola ni wabovu sana, hawafiki hata nusu ya ubora wa Al Hilal

Hapa bongo napo mkapiga wachovu wa mkiani wakina Dodoma Jiji na wa aina hiyo ila Azam wamefunua ubovu wenu. Jana mlizidiwa kwa kila kitu, sioni mchezaji wenu yoyote ambaye alikosekana jana angeweza kubadilisha matokeo.

Timu yenu inahitaji ukarabati mkubwa sana kufikia ubora wa timu aliyoiacha Pattrick Aussems kuanzia kwa Madam CEO mwenyewe. Na kwa huu moto wa Azam, KMC na Singida Big Stars msimu huu, sina uhakika kama hata tatu bora mtaingia, na Jumapili ni dhidi ya Mtibwa Sugar.

Jiandaeni kisaikolojia kwa lolote!
Huyo Al hilal tulimpakata goli nne , au umejisahaulisha? Primero d'Agosto mwaka 2018 walifika hadi hatua ya nusu fainali michuano ya klabu bingwa Africa... Utasemaje ni timu mbovu.? Hao Nyasa Big bullets lishindwa kuwafunga katika yanga day pale taifa ...au umejisahaulisha
 
Huyo Al hilal tulimpakata goli nne , au umejisahaulisha? Primero d'Agosto mwaka 2018 walifika hadi hatua ya nusu fainali michuano ya klabu bingwa Africa... Utasemaje ni timu mbovu.? Hao Nyasa Big bullets lishindwa kuwafunga katika yanga day pale taifa ...au umejisahaulisha
Naongelea currently sio hayo mambo ya miaka iliyopita.. kwa timu yako ya sasa hivi huna uwezo wa kumfunga al hilal uyo agosto msimu jana tu alipigwa goli 6 na namungo uko uko angola
 
Back
Top Bottom