johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukitaka kupima nguvu ya Wasanii angalia Sugu anavyokubalika Mbeya, angalia Prof Jay anavyokubalika Kilosa, angalia Babu Tale anavyokubalika Morogoro
Lakini zaidi angalia Freeman Mbowe anavyokubalika kwenye Siasa za Nchi yetu
Wengi hawajui Kwamba Komba rip na Mbowe ndio waliaminiwa na mwalimu Nyerere kusimamia Sanaa za Vijana na Siasa ambapo Mbowe alihusika na Kizazi kipya na Komba akapewa Vijana wa Bara waliopendelea Ngoma na Kwaya
Hivyo basi siyo rahisi CCM kuwepo au kushinda Uchaguzi bila Wasanii iwe wa Dunia au wale wa Nyimbo za Injili
Kwa sasa nguvu ya Wasanii inazidi kuwa kubwa na itafika wakati watazitamani Nafasi nyeti
Kama una macho angalia tu nguvu ya akina Mwijaku, Zembeela, Diamond, Harmonize, Baba Levo, Masanja nk hawa wanazurura Ulaya na Uarabuni bila Hata kusubiri wasafiri na Rais
Tunakumbushana tu 😂😂😂
Lakini zaidi angalia Freeman Mbowe anavyokubalika kwenye Siasa za Nchi yetu
Wengi hawajui Kwamba Komba rip na Mbowe ndio waliaminiwa na mwalimu Nyerere kusimamia Sanaa za Vijana na Siasa ambapo Mbowe alihusika na Kizazi kipya na Komba akapewa Vijana wa Bara waliopendelea Ngoma na Kwaya
Hivyo basi siyo rahisi CCM kuwepo au kushinda Uchaguzi bila Wasanii iwe wa Dunia au wale wa Nyimbo za Injili
Kwa sasa nguvu ya Wasanii inazidi kuwa kubwa na itafika wakati watazitamani Nafasi nyeti
Kama una macho angalia tu nguvu ya akina Mwijaku, Zembeela, Diamond, Harmonize, Baba Levo, Masanja nk hawa wanazurura Ulaya na Uarabuni bila Hata kusubiri wasafiri na Rais
Tunakumbushana tu 😂😂😂