Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Ukweli Mchungu: Black race ni failed project!

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2021
Posts
4,779
Reaction score
9,999
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
 
MTU yeyote anaye decline responsibility huwa anakuwa anapata sauti mbili tu.

Sauti ya kwake
Sauti ya vishawishi.

Hivyo huwa hapati sauti ya tatu yenye mantiki(maana)

Hapa Africa ndo unakuta MTU anamlalamikia MTU kuwa kamzuia asitoboe

Anamroga
Mara shetani kamzuia n.k

Hivyo ukiwa hauna sauti ya maana Akili Ina-block ule mtiririko wa maono na mafunuo revelation
 
Historia yako umeanza kuichukua lini ?

Unaongelea Black American uzao wa watumwa na ubaguzi na kubaguliwa unategemea mentality yao itakuwaje ?

Unaongelea shida ? Africa kuna shida ? Sehemu ambapo weather ni friendly na watu wanaishi na natural climate (nature) na unazungumzia maendelea mfano ni USA ambapo walibadilisha sustainability na maisha waliyopenda na kuyaishi red indians na kuwabadilisha na kuwafanyia indoctrination ?

Necessity is the mother of all invention..., na empires rise and fall walikuwa juu huko Baghdad walikuwa juu huko wachina na huenda kesho wakawa juu wengine..., ingawa kwa dunia ya sasa kujitenga kwamba sisi ni waafrika wale wa-asia na wale wazungu ni kutokutendea haki Human race..., we all need to come together na kupambana na mazingira yetu sio vinginevyo....

But marginalization of underdeveloped countries by so called developed is real....
 
MTU yeyote anaye decline responsibility huwa anakuwa anapata sauti mbili tu.

Sauti ya kwake
Sauti ya vishawishi.

Hivyo huwa hapati sauti ya tatu yenye mantiki(maana)

Hapa Africa ndo unakuta MTU anamlalamikia MTU kuwa kamzuia asitoboe

Anamroga
Mara shetani kamzuia n.k

Hivyo ukiwa hauna sauti ya maana Akili Ina-block ule mtiririko wa maono na mafunuo revelation


Sauti ya kwako huleta ubinafsi hii na huwa inamfanya MTU asione mbali

Sauti ya vishawishi huleta

Njaa
Tamaa
Reckless

Njaa humfanya MTU asitosheke

Tamaa humfanya MTU kuwa na upofu

Reckless -uzembe humfanya MTU kuwa na complacent attitude na kuacha kushughulia mambo ya msingi.


Natendelea...
 
Historia yako umeanza kuichukua lini ?

Unaongelea Black American uzao wa watumwa na ubaguzi na kubaguliwa unategemea mentality yao itakuwaje ?

Unaongelea shida ? Africa kuna shida ? Sehemu ambapo weather ni friendly na watu wanaishi na natural (nature) na unazungumzia maendelea mfano ni USA ambapo walibadilisha sustainability na maisha waliyopenda na kuyaishi red indians na kuwabadilisha na kuwafanyia indoctrination ?

Necessity is the mother of all invention..., na empires rise and fall walikuwa juu huko Baghdad walikuwa juu huko wachina na huenda kesho wakawa juu wengine..., ingawa kwa dunia ya sasa kujitenga kwamba sisi ni waafrika wale wa-asia na wale wazungu ni kutokutendea haki Human race..., we all need to come together na kupambana na mazingira yetu sio vinginevyo....

But marginalization of underdeveloped countries by so called developed is real....
Fact ila hao Black America nimewatolea mfano kwa kushindwa kubadili mindset zao na kuchukua advantage ya kufanya mambo makubwa kulinganisha na eneo walilopo tofauti na Mazingira yetu ndio maana napata hitimisho la race kama race na Sio Mazingira nj some na sisi tuna Rasilimali chungu nzima ila sasa kuzitumia kwa manufaa ni mtihani mkuu!
 
Sauti ya kwako huleta ubinafsi hii na huwa inamfanya MTU asione mbali

Sauti ya vishawishi huleta

Njaa
Tamaa
Reckless

Njaa humfanya MTU asitosheke

Tamaa humfanya MTU kuwa na upofu

Reckless -uzembe humfanya MTU kuwa na complacent attitude na kuacha kushughulia mambo ya msingi.


Natendelea...
Nafuatilia mkurugenzi karibu na shusha vitu!
 
Ina maana hapo imebaki sauti moja ambayo huitwa sauti ya maana.

Hii ndo mwafrika huwa hana.

Ntaielezea hii usiku

Ila fahamu tu kuwa sababu ya umasikini Africa ni AKILI tu na kuzielewa sauti
Asante asante mkuu karibu kwa muendelezo angalau tupate kubrush ubongo maana mambo ya bongo ukiendekeza utakufa kabla hujafa utazikwa mzima!
 
Sisi waafrika na sokwe ni ndugu moja, wanasayansi wanaposema binadamu wa kale alikuwa sokwe wanamaanisha sisi wa africa, ushawahi kuona sokwe mweupe? Hiyo ni metaphor kwamba waafrika ni beasts not human beings
Haha daa inachekesha na kuuma kwa wakati mmoja!
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
Kajibadilishe rangi we bwege
 
Hakuna salamu hapa, kwanza Sio chakula au mtaji wa kufungulia biashara!

Ni hivi kama kichwa kinavyojieleza hapo,

Hivi sisi watu weusi tuna shida gani aisee?

Kila alipo mtu mweusi katika Dunia hii ni shida tupu aisee,

Mwanzo nikajua Africa ni bara la giza kumbe watu wenyewe ndio giza lenyewe na Sio bara kama bara.

Haya sasa angalia wale WaAmerica Weusi shida tupu yaani saikolojikale ni Wabongo kabisa.

Kila kitu lawama tu mara oh watu weupe wanatubagua, mara ooh kisa utumwa ndio maana tumeathirika na bla bla kibao ila now wapo huru ndio wanaoongoza kuuana wenyewe kwa wenyewe, mitaani ni magenge na uhalifu wa Madawa na umalaya wa kijinga plus kupenda maisha ghari pasi na pesa wala Elimu.

Huku shithole ndio usiseme Chama chakavu kipo madarakani miaka zaidi ya 60 na serikali yake ila hata maajabu hakuna.

Bado huko zimbabwe na Somalia kote yale yale tu hakuna nafuu.

Yaani serikali zinazoshindwa hata kujenga mitaro ya maji machafu daaa basi tu,

Lengo la mada ilikua ni kwamba Waafrika ni failed project hatuna mchango kwa Dunia zaidi ya kuinyonya na kuharibu tu nothing more hivyo napendekeza kama nature inaweza kufanya kazi ni itumeze na Dunia ijirestart upya we are useless kama unabisha subirini muone comments zenu zinavyosadifu yaliyomo kwenye thread!

Nawatakia makasiriko mema na povu la buku jero maswali ya kiwaki kama
'wewe kama wewe umefanya nini?

Na so maoni yako ni nini au solution?

Kwa ufupi sina cha kufanya na nawatakia harakati njema!
Chama chakavu, unajua Democrats na Republican ni za tangia miaka gani, we akili zako ndio zimechakaa
 
Chama chakavu, unajua Democrats na Republican ni za tangia miaka gani, we akili zako ndio zimechakaa
Akili za Chama chakavu hizo unalinganisha Democratic na Republican?
Angalia miaka 60 ya hivyo vyama na miaka 60 ya Chama chakavu,
Utagundua utofauti wa bongo mbili zenye upeo tofauti Moja wanatumia akili kufanya mambo na nyingine zimejaa matope
Tatizo Sio Chama tatizo wana Chama!
😁😁
 
Back
Top Bottom