LGE2024 Ukweli mchungu, CHADEMA wameshashindwa uchaguzi kabla ya uchaguzi wenyewe

LGE2024 Ukweli mchungu, CHADEMA wameshashindwa uchaguzi kabla ya uchaguzi wenyewe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam

Nitasema kidogo tu tena kwa ufupi kabisa. Kwa mtu mwenye akili timamu ukiangalia uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa utaona wazi kwamba CCM wameandikisha wapiga kura wengi

karibu nchi nzima. Hapa haijalishi wametumia mikono au miguu ila wanefanikiwa na ni ukweli mchungu kwamba watashinda kwa kishindo ukizingatia kila kitu wanancho namaana jamaa wana tume yao ya uchaguzi, wasimamizi wao na wapiga kura wa kutosha.

Muda ni rafiki mzuri kuliko wote tukutane novemba hapa hapa.
 
Wasalaam
Nitasema kidogo tu tena kwa ufupi kabisa. Kwa mtu mwenye akili timamu ukiangalia uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa utaona wazi kwamba ccm wameandikisha wapiga kura wengi karibu nchi nzima. Hapa haijalishi wametumia mikono au miguu ila wanefanikiwa na ni ukweli mchungu kwamba watashinda kwa kishindo ukizingatia kila kitu wanancho namaana jamaa wana tume yao ya uchaguzi, wasimamizi wao na wapiga kura wa kutosha.

Muda ni rafiki mzuri kuliko wote tukutane novemba hapa hapa.
Kwahiyo Kwa mawazo Yako Raid wa jamhuri Huwa anapatikana kwa kura SI ndio!!?

Chadema itapata wabunge wengi sana karibu nusu ya WA CCM!

Rais anawekwa na dola akipata baraka zote Toka Kwa idara kubwa za kijasusi duniani mossad, FBI,CIA etc!!

Sasa jiulize aliepo anakubalika na taasisi hizo za mataifa makubwa!!?

Jiulize Kwa kina!!
 
Ingekuwa kuna kubet uchaguzi Tz kila mtu angekula mana ushindi huwa dhahiri..hapa ccm anajipigia bom mochwari
 
Back
Top Bottom