Ukweli mchungu ila msinitukane

Ukweli mchungu ila msinitukane

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,017
Reaction score
5,462
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii.

Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na kata. Nikagundua wengi wao walipata division four kwa form four.

Chondechonde serikali iangalie hawa watu iwapatie mafunzo hawa watu. Ni raslimali bora kwa taifa na kilimo ni uti wa mgongo wa taufa letu.

Wachukueni wenye ufaulu mzuri wakasomee hii fani

Ushahidi: Nilenda kwa mmoja wao nikamuuliza swali hili "Afisa nalima tikikiti maji. Nahitaji nipate matunda matatu tu kwa kila shina. Sasa afisa nitafanyaje ili yabaki matunda matatu?

Jibu: Hata mimi zijui.

Nilicheka kimoyomoyo kwa kuwa huyu ni jamaa yangu wa karibu.

Serikali serikali jalini taaluma hii muhimu.


Iko kama waalimu wa primary. Yaani enzi zetu walikuwa wanachukuliwa waliopata sifuri kidato cha nne.

Eti aliyefeli ndio akafundishe wanafunzi wafaulu. Kituko.
 
Ndio inavyokuwaga mkuu wale wenye ufaulu wa chini wanaenda kusomea hizo fani na wale wenye ufaulu wa juu hawataki hizo fani
 
Kuna njaa na passion kama mtu unakipenda kilimo lazima utafuatilia

Kifupi Mtaala haukufundishi hayo ni ww mwenyewe juhudi zako kufuatilia mambo tu

Nakupa mfano hai wakati nasomea kilimo nilikuwa na mvuto nayo kiasi kwamba nikawa najua hadi mambo ya ziada kabisa ambayo hayafundishwi ila ni muhimu kujua na nilikuwa na vyanzo vyangu vya uhakika vya taarifa kabisa.

Lakini tatizo kubwa hao walio chini ya mkurugenzi hawapewi semina za mara kwa mara usiwalaumu sana
 
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii.

Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na kata. Nikagundua wengi wao walipata division four kwa form four.

Chondechonde serikali iangalie hawa watu iwapatie mafunzo hawa watu. Ni raslimali bora kwa taifa na kilimo ni uti wa mgongo wa taufa letu.

Wachukueni wenye ufaulu mzuri wakasomee hii fani

Ushahidi: Nilenda kwa mmoja wao nikamuuliza swali hili "Afisa nalima tikikiti maji. Nahitaji nipate matunda matatu tu kwa kila shina. Sasa afisa nitafanyaje ili yabaki matunda matatu?

Jibu: Hata mimi zijui.

Nilicheka kimoyomoyo kwa kuwa huyu ni jamaa yangu wa karibu.

Serikali serikali jalini taaluma hii muhimu.


Iko kama waalimu wa primary. Yaani enzi zetu walikuwa wanachukuliwa waliopata sifuri kidato cha nne.

Eti aliyefeli ndio akafundishe wanafunzi wafaulu. Kituko.
Wewe hukuwa na nia ya kujifunza ila ulikuwa unataka kupima uelewa wake kwenye kitu unachokijua tayari ili upate sababu ya kumuona mjinga!
 
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii.

Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na kata. Nikagundua wengi wao walipata division four kwa form four.

Chondechonde serikali iangalie hawa watu iwapatie mafunzo hawa watu. Ni raslimali bora kwa taifa na kilimo ni uti wa mgongo wa taufa letu.

Wachukueni wenye ufaulu mzuri wakasomee hii fani

Ushahidi: Nilenda kwa mmoja wao nikamuuliza swali hili "Afisa nalima tikikiti maji. Nahitaji nipate matunda matatu tu kwa kila shina. Sasa afisa nitafanyaje ili yabaki matunda matatu?

Jibu: Hata mimi zijui.

Nilicheka kimoyomoyo kwa kuwa huyu ni jamaa yangu wa karibu.

Serikali serikali jalini taaluma hii muhimu.


Iko kama waalimu wa primary. Yaani enzi zetu walikuwa wanachukuliwa waliopata sifuri kidato cha nne.

Eti aliyefeli ndio akafundishe wanafunzi wafaulu. Kituko.
Hivyo huvyo kwa ngazi zote za cheti/diploma kuanzia uhasibu. Udaktari,ufamasia,ufundi, bank nk.
Nakumbuka uhasibu na utalii ndio ilikuwa kimbilio la walio na ufaulu mdogo ila walimu ndiio mna waandama sana.
ila kusema walipatazero sio kweli
Miaka ya 2000 kuna kozi tuliziita kozi za kizushi. Ukifeli unasoma fasta unapata ajira fasta maisha yanaendelea.
Vile vile sio kila wenye digrii wanajua kila kitu.
Elimu ya kazi haina uhusiano sana na hio ya form four. Mfano saikolojia ya chuo haina uhusiano au muendelezo na elimu ya form four.
Ni ujinga kuamini kufaulu form four ndio kujua vitu chuoni. Mtoa mada kama ufaulu fm4 ingekuwa ndio kigezo cha maarifa basi waliopata one wangefanya mambo nakubwa na nchi ingekuwa first world muda huu kwa sababu kuna maelfu ya one, two,three.
Kuna ma GPA ya hatari.
Nimewahi waponda humu maprofesa wa SUA kwa kushindwa kubuni chanjo ya ugonjwa wa homa ya nguruwe ambao umesumbua miaka zaidi ya 15.
Kuna ugonjwa wa mnyauko wa viazi. Kuna kantangaze wa kwenye nyanya nk.
Hivyo ufaulu haujawahi isaidia hii nchi bali kufuatisha tu mambo kama kasuku.
 
Hivyo huvyo kwa ngazi zote za cheti/diploma kuanzia uhasibu. Udaktari,ufamasia,ufundi, bank nk.
Nakumbuka uhasibu na utalii ndio ilikuwa kimbilio la walio na ufaulu mdogo ila walimu ndiio mna waandama sana.
ila kusema walipatazero sio kweli
Miaka ya 2000 kuna kozi tuliziita kozi za kizushi. Ukifeli unasoma fasta unapata ajira fasta maisha yanaendelea.
Vile vile sio kila wenye digrii wanajua kila kitu.
Elimu ya kazi haina uhusiano sana na hio ya form four. Mfano saikolojia ya chuo haina uhusiano au muendelezo na elimu ya form four.
Ni ujinga kuamini kufaulu form four ndio kujua vitu chuoni. Mtoa mada kama ufaulu fm4 ingekuwa ndio kigezo cha maarifa basi waliopata one wangefanya mambo nakubwa na nchi ingekuwa first world muda huu kwa sababu kuna maelfu ya one, two,three.
Kuna ma GPA ya hatari.
Nimewahi waponda humu maprofesa wa SUA kwa kushindwa kubuni chanjo ya ugonjwa wa homa ya nguruwe ambao umesumbua miaka zaidi ya 15.
Kuna ugonjwa wa mnyauko wa viazi. Kuna kantangaze wa kwenye nyanya nk.
Hivyo ufaulu haujawahi isaidia hii nchi bali kufuatisha tu mambo kama kasuku.
Safi kbsa umejibu vizuri
 
Wanaoitwa wataalamu wa kilimo na mifugo ndio wanasababisha wakulima na wafugaji wengi waangukie pua kwa faculty hii.

Nikafanya utafiti kidogo elimu ya maafisa kilimo na mifugo ngazi ya kijiji na kata. Nikagundua wengi wao walipata division four kwa form four.

Chondechonde serikali iangalie hawa watu iwapatie mafunzo hawa watu. Ni raslimali bora kwa taifa na kilimo ni uti wa mgongo wa taufa letu.

Wachukueni wenye ufaulu mzuri wakasomee hii fani

Ushahidi: Nilenda kwa mmoja wao nikamuuliza swali hili "Afisa nalima tikikiti maji. Nahitaji nipate matunda matatu tu kwa kila shina. Sasa afisa nitafanyaje ili yabaki matunda matatu?

Jibu: Hata mimi zijui.

Nilicheka kimoyomoyo kwa kuwa huyu ni jamaa yangu wa karibu.

Serikali serikali jalini taaluma hii muhimu.


Iko kama waalimu wa primary. Yaani enzi zetu walikuwa wanachukuliwa waliopata sifuri kidato cha nne.

Eti aliyefeli ndio akafundishe wanafunzi wafaulu. Kituko.
Huchekwi na mtu.
Dr. Veterinary wangu namuita mbuzi wangu mtoto amefia tumboni. Kamchana kwanza mbuzi na nyembe ukeni, hakufaulu. Kisha akamaliziya kuchana na kisu. Inamana alitaka auvunje na mfupa.
Napiga simu namuuliza kama amempasuwa, nikapewa taarifa hizo. Alafu alifeli kumtowa. Namuuliza Dr. Kwanini hujampasuwa, akasema alikuwa hajuwi kama mbuzi anafanyiwa upasuwaji. Yeye alijuwa ni ng'ombe tu.
Basi nikawaambia hapo hapo wamchinje mbuzi. Angalau tumuokowe na maumivu.

Kwa hiyo, hiyo ndio hali halisi ya ma Vet wetu. Asilimia kubwa ni ma Dr. Uchwara.
 
Kilimo, Ufugaji hizi zote in amali za kibiashara zinahitaji
Mtaji Uzoefu Ushirikiano
Maarifa, elimu , weledi
Kujitoa, Kujituma, Kutokata tamaa
Kama biashara nyingine yoyote. Kuendelea kuwasukuma waliofeli kielimu kwenye sector ya kilimo au ufugaji ni kuidhalilisha sector hiyo
 
Huchekwi na mtu.
Dr. Veterinary wangu namuita mbuzi wangu mtoto amefia tumboni. Kamchana kwanza mbuzi na nyembe ukeni, hakufaulu. Kisha akamaliziya kuchana na kisu. Inamana alitaka auvunje na mfupa.
Napiga simu namuuliza kama amempasuwa, nikapewa taarifa hizo. Alafu alifeli kumtowa. Namuuliza Dr. Kwanini hujampasuwa, akasema alikuwa hajuwi kama mbuzi anafanyiwa upasuwaji. Yeye alijuwa ni ng'ombe tu.
Basi nikawaambia hapo hapo wamchinje mbuzi. Angalau tumuokowe na maumivu.

Kwa hiyo, hiyo ndio hali halisi ya ma Vet wetu. Asilimia kubwa ni ma Dr. Uchwara.
Dah si angemchoma ata homoni ya kuforce cervix ifunguke aise
 
Hivyo huvyo kwa ngazi zote za cheti/diploma kuanzia uhasibu. Udaktari,ufamasia,ufundi, bank nk.
Nakumbuka uhasibu na utalii ndio ilikuwa kimbilio la walio na ufaulu mdogo ila walimu ndiio mna waandama sana.
ila kusema walipatazero sio kweli
Miaka ya 2000 kuna kozi tuliziita kozi za kizushi. Ukifeli unasoma fasta unapata ajira fasta maisha yanaendelea.
Vile vile sio kila wenye digrii wanajua kila kitu.
Elimu ya kazi haina uhusiano sana na hio ya form four. Mfano saikolojia ya chuo haina uhusiano au muendelezo na elimu ya form four.
Ni ujinga kuamini kufaulu form four ndio kujua vitu chuoni. Mtoa mada kama ufaulu fm4 ingekuwa ndio kigezo cha maarifa basi waliopata one wangefanya mambo nakubwa na nchi ingekuwa first world muda huu kwa sababu kuna maelfu ya one, two,three.
Kuna ma GPA ya hatari.
Nimewahi waponda humu maprofesa wa SUA kwa kushindwa kubuni chanjo ya ugonjwa wa homa ya nguruwe ambao umesumbua miaka zaidi ya 15.
Kuna ugonjwa wa mnyauko wa viazi. Kuna kantangaze wa kwenye nyanya nk.
Hivyo ufaulu haujawahi isaidia hii nchi bali kufuatisha tu mambo kama kasuku.
Kila hoja Ina hoja kinzani.
 
Back
Top Bottom