Ukweli mchungu: Kama Serikali ingeamua kuongeza tozo hata kwa 100% hakuna Mtanzania angeweza kugoma

Ukweli mchungu: Kama Serikali ingeamua kuongeza tozo hata kwa 100% hakuna Mtanzania angeweza kugoma

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Binafsi ningependa serikali isingepunguza tozo hata 0.1%, ingewezekana basi tozo zingeongezwa kwa 50-100% ili serikali itimize makusudi yake kwa haraka.

Watanzania sio watu wa kuonewa huruma. Wengi ni wanafiki. Kazi yao kulaumu kidogo kisha maisha yanaendelea.

Mtanzania akiwa na mapenzi na chama au kiongozi fulani haambiliki jambo.

Serikali msiwaonee huruma wananchi kwenye mambo ya kodi.
Wafanyabiashara janjajanja wafungwe au wafilisiwe.

Kuna wafanyabiashara unanunua bidhaa ya laki moja wanaandika risiti kuwa umenunua bidhaa ya elfu moja.

Serikali ikusanye kodi bila kumhurumia mtu ili watumishi waongezewe mishahara , hospitali zijengwe, shule zijengwe, madawati yanunuliwe na madege ya show off yanunuliwe.
 
Kwahiyo kodi ikusanywe ili kuongezea watumushi tu mshahara?! [emoji23] [emoji23].. Umeanza andiko vzr lkn umeboronga Mwsho hya Viva tozo tozoni mpk akil zikae sawa
 
Msemo wa kunya anye kuku akinya bata ameharisha unakuhusu sana.
Kifupi mwisho wa bandiko lako umeharishia mdomon
Habari!
Binafsi ningependa serikali isingepunguza tozo hata 0.1%, ingewezekana basi tozo zingeongezwa kwa 50-100% ili serikali itimize makusudi yake kwa haraka.
Watanzania sio watu wa kuonewa huruma. Wengi ni wanafiki. Kazi yao kulaumu kidogo kisha maisha yanaendelea.
Mtanzania akiwa na mapenzi na chama au kiongozi fulani haambiliki jambo.
Serikali msiwaonee huruma wananchi kwenye mambo ya kodi.
Wafanyabiashara janjajanja wafungwe au wafilisiwe.
Kuna wafanyabiashara unanunua bidhaa ya laki moja wanaandika risiti kuwa umenunua bidhaa ya elfu moja.
Serikali ikusanye kodi bila kumhurumia mtu ili watumishi waongezewe mishahara , hospitali zijengwe, shule zijengwe, madawati yanunuliwe na madege ya show off yanunuliwe.
 
Habari!
Binafsi ningependa serikali isingepunguza tozo hata 0.1%, ingewezekana basi tozo zingeongezwa kwa 50-100% ili serikali itimize makusudi yake kwa haraka.
Watanzania sio watu wa kuonewa huruma. Wengi ni wanafiki. Kazi yao kulaumu kidogo kisha maisha yanaendelea.
Mtanzania akiwa na mapenzi na chama au kiongozi fulani haambiliki jambo.
Serikali msiwaonee huruma wananchi kwenye mambo ya kodi.
Wafanyabiashara janjajanja wafungwe au wafilisiwe.
Kuna wafanyabiashara unanunua bidhaa ya laki moja wanaandika risiti kuwa umenunua bidhaa ya elfu moja
wewe Ni mpumbavu, hivi ulishafikiria Kwanini mataifa hufilisika.
 
Baba Askofu Benson Lwakalinda Bagonza anauliza

NAOMBA MSAADA

Nahitaji msaada wenu wasomaji wangu:

1. Hivi mwizi akikuibia hela yako halafu akaitumia kukununulia nguo au chakula, kosa la wizi linakuwa limeisha?

2. Mwizi akikuibia shilingi 100 ukapiga kelele akakurudishia 30 na kubaki na 70, unapaswa kumshukuru kuwa ni mwema?

3. Na kiongozi wako akikukuta unafanya biashara ili upate fedha ya kulipia karo na matibabu, akafunga biashara yako na hela akakunyanganya na kukujengea zahanati na shule, anakuwa amekutendea haki?

TOZO TOZO
LUKU LUKU

VYOTE NI KANDAMIZI. HATULIPI KWA HIARI BALI MNACHUKUA KWA NGUVU. MIILI YETU MNAYO, MIOYO TUMEBAKI NAYO.
 
Matanzania sie majinga sn.Ccm inatugeuza itakavyo
 
Habari!

Binafsi ningependa serikali isingepunguza tozo hata 0.1%, ingewezekana basi tozo zingeongezwa kwa 50-100% ili serikali itimize makusudi yake kwa haraka.

Watanzania sio watu wa kuonewa huruma. Wengi ni wanafiki. Kazi yao kulaumu kidogo kisha maisha yanaendelea.

Mtanzania akiwa na mapenzi na chama au kiongozi fulani haambiliki jambo.

Serikali msiwaonee huruma wananchi kwenye mambo ya kodi.
Wafanyabiashara janjajanja wafungwe au wafilisiwe.

Kuna wafanyabiashara unanunua bidhaa ya laki moja wanaandika risiti kuwa umenunua bidhaa ya elfu moja.

Serikali ikusanye kodi bila kumhurumia mtu ili watumishi waongezewe mishahara , hospitali zijengwe, shule zijengwe, madawati yanunuliwe na madege ya show off yanunuliwe.
Wewe itakuwa unapenda kuingiliwa kinguvu na kinyume
 
Hilo mbona dogo sana jamaa, sema hata kutuchinja na kutuondoa uhai wetu wanaweza na tukabaki kuinamisha vichwa vyetu ili wapitishe visu. Hili genge soooo..!
 
Mkuu we ndo hujui kabisa, asa mia itatosha nini? wajitaidi waongeze buku yaan 1000 ili tuendelee haraka zaidi
 
Ntranghet ni band moja babu kubwa nchini Italykwa shughuri yake ya kuleta furaha kwa waliokosa furaha na hakika natamani kuiona ikitumbuiza viunga vya ikulu yetu kwa malkia Elizabeth VI
 
Back
Top Bottom