Ukweli mchungu kwa timu Simba

Mtoa mada mwenye akili fupi za kufikiri pia kumbuka kuwa Viperz huyo huyo mnayetuaminisha kuwa ni mbovu bila Manzuki na huyo mchezaji mwingine uliyemtaja walimtoa Mazembe kwenye klabu bingwa hadi akashushwa huku kwenye ligi ya waliofeli shirikisho ambapo ndio UTOPWENGA IPO pia
 
Ahueni wale watukana matusi bado hawajauvaumia huu uzi. Na hivyo kutoa nafasi kwa wajumbe kujibizana kwa hoja
 
Simba itasonga mbele ila inapaswa jitathimini zaidi
 
Umesahau Viper ndio alimtoa Mazembe kwenye mabingwa ndio mkapangwa nae huko kwa waliofeli

Champions League hakuna timu mbovu, timu mbovu zote zilitolewa na kutupwa Shirikisho
Simba hii hii iliyozidiwa PWENTI 8 huku BARA?
 
Ni kweli Vipers ni wabovu na ndo maana wakamtoa TP Mazembe ambayo ndo mbovu zaidi..!!Ramli yako umeipiga vizuri Sana ila kumbuka mpira sio kama kufunga vifungo vya shati kama unavyodhania wewe..!!Huyo Horoya alifanya nini Uganda wakati anacheza na Vipers.? Je alishinda.? Na kama hakushinda iwe awe bora kuliko Simba aloshinda.? Ubora wa Timu ni msimamo wa ligi na si vinginevyo..!!
 
Nyie mmefika mpka mjadili hatma ya mnyama?? Mlishaona wapi mgonjwa anajiombea kifo...iwe isiwe tutapita..
 
Hata mimi nakubali kuwa kikosi cha Simba cha sasa kina matatizo ambayo kimsingi yanawezesha kuita timu ni mbovu. kwa leo siwezi kuelezea, ila timu itatinga robo fainali kwa kutumia jina na uzoefu. hakuna namna nyingine.
 
Kwani hao vipers wamepoteza wachezaji wengi wangapi?, Maana Kila mtu anasema vipers imeuza wachezaji kibao Sasa wangapi?
 
Reactions: Tui
Ni hivi, huyu Simba kachukua points sita kwa mchovu Vipers, aliyewapoteza wachezaji wengi msimu huu kama Cesar Lobi Manzoki na Bobos.
Yaani wawili ndio wengi, mbona Yanga imewapoteza Makambo, Bigirimana, Yacouba, Kambole, Morrison na Feisal ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…