Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Ukweli mchungu kwa Walokole wote duniani, hamtamuweza Shetani, mtazaliwa kuzeeka na kuondoka hamtamuweza na dunia itabaki

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga. Kwa taarifa yako nakupa za ndani Shetani haishi kuzimu kwasasa anaishi kwenye himaya yake mpya iliyojengwa kwa pure Gold. Kuzimu walioko kule kwa sasa ni binadamu peke yao kwahiyo mnapofanya maombi yenu ya kuzimu mnawapigia kelele wenzenu msifikiri yupo kule tena na bado na nyie mtasokomezwa kule ndo mpate utamu mana kwasasa hamjui mnachofanya ndo mana midomo yenu inawawasha kama mmelamba upupu

Mwili wake unatema shoti hapa duniani utazitafuta hutazipata, umeme wa grid ya Taifa ni cha mtoto, alishakuwa shida hafai tena mpaka baba yake anajivunia kuwa na kidume. Baba yake anampenda sana kwasababu ya umaridadi wake vitani. Hizo shoti ndizo zinazowaunguza malaika wanaojaribu kumletea ujinga sasa hizo nguvu zenu mlizo nazo ni zipi wakati ninyi ni miili hivi kweli umezaliwa Tanzania unasema unampiga Shetani? Are you serious au unakula bange mbichi? Kabla ya kufanya mzaha wa kumpigia kelele nenda kwanza kapigane na jeshi la Marekani ukishafanikiwa nitafute nikupeleke kwa vinyamkera na vibwengo, ukimalizana nao nikupeleke kwa majini ukiwamaliza wote nikupeleke daraja la tatu mpaka nakufikisha kwake skeleton ina afadhali
1000004269.jpg
 
Shida ya Wanadamu wengi wajinga Wana mchukulia Shetani kawaida mnoo lakini Hakuna mwanadamu yoyote Yule Enzi na Enzi,,manabii Kwa manabii,,mitume Kwa mitume aliyeweza pambana na Shetani akatoka salama au kumshinda haitakuja tokea kamwe,,Jamaa anapawa mnoo hakuna binadamu wa kumshinda Iwe Kwa Kiroho,,Kimwili na Kwa Nafsi pia
 
Shida ya Wanadamu wengi wajinga Wana mchukulia Shetani kawaida mnoo lakini Hakuna mwanadamu yoyote Yule Enzi na Enzi,,manabii Kwa manabii,,mitume Kwa mitume aliyeweza pambana na Shetani akatoka salama au kumshinda haitakuja tokea kamwe,,Jamaa anapawa mnoo hakuna binadamu wa kumshinda Iwe Kwa Kiroho,,Kimwili na Kwa Nafsi pia
Labda wewe
 
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi.

Shetani hana umri wala hana mwisho, hali halali wala hachoki hakuna kitu chochote anachohitaji ili aweze kuishi kwa maana kwamba ni full package bali binadamu ana mwisho ambao ni kifo, anakula anachoka anaugua kwahiyo kupigana na Shetani ni ujinga mkubwa kuliko ujinga mwingine wowote unaoufahamu hapa duniani

Shetani hafanyi vita na binadamu kwasababu kwake ni kitu kidogo sana ukimsumbua anakupuliza tu kama karatasi unafia kule na hajawahi kumfuata mtu kwa lengo la kumdhuru kwasababu ana nguvu kubwa sana akishuka hapa Tanzania kwa hasira itatokea Tsunami wala hamtaweza kuishi tena.

Anaewasumbua ninyi ni vinyamkera na vibwengo lakini kwajinsi mlivyokosa ufahamu mnadhani ni Shetani mwenyewe.

Huwezi kuwa rafiki wa Shetani kama wewe ni mjinga kwasababu yeye ni Philosopher lazima uwe unajitambua na una akili timamu sio unakuwa mjinga mjinga uliebeba akilini ujinga.

Watu wanaofahamiana na Shetani sio watu wajinga ni wasomi wakubwa, wanasayansi wakubwa duniani na kila yeyote yule unayemfahamu ni mkubwa hapa duniani kwahiyo kumpigia kelele msomi wa kwanza duniani ni ujinga uliokubuhu.

Ifike mahali binadamu mjifunze kujishusha na sio kunyanyua vidomo vyenu kupigia kelele kitu msichokiweza tulieni muelekezwe.

Mbinguni kule ni nyumbani kwake na anaenda muda wote anaotaka na baba yake anamkaribisha sana sasa ninyi binadamu kati yenu wote nani anaekwenda Mbinguni na kurudi.

Nakupa za ndani kwataarifa yako Shetani akikukazia usikanyage Mbinguni hutatoa kwasababu hakuna asichokijua kule nyie wote hata 1% ya akili zake hamna tulieni muelekezwe dunia ilivyo.

Dhambi zote mlizotajiwa yeye anazitafsiri kama udhaifu wa binadamu, kwa maana kwamba anaezifanya anamtafsiri kama fala flani hivi kwahiyo usidhani dhambi zako unazofanya yeye ndiye kakutuma ni ujinga wako wewe mwenyewe unaoufanya kwa mikono yako mwenyewe.

Narudia kusema tena Shetani ni msomi wa kwanza duniani usijidanganye hata siku moja kuwa yeye ndiye kakwambia ukalawitiwe au ukalawiti au ukafe na ulevi au dhambi yeyote ile ni ujinga wako wewe mwenyewe.

Mtu mwenye akili kamwe hafanyi ujinga.

wafilipi 4:13​

Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
 
Shetani ana acds 40% Jesus ana acds 100% shetani anakushinda kama hauna MUNGU.
Acds ni kipimo cha nguvu ya imani au uwezo wa nguvu za kiroho
Mfano mchawi anamroga Mkristo mwenye Acds ndogo kuliko mchawi.
So inategemea na wewe umeniconnect wapi.
Mbwembwe tu na mbinu za kusomba sadaka. Tendeni mema, watendeeni wengine mema, fanya majukumu yako, hakuna acds wala abcds, kuna wewe na tabia zako.
 
Naikumbuka sana miaka ya 1990/2000 simu zikikua chache na watumiaji au wamiliki wa internet walikua ni wachache so maisha yalikua mazuri sana ila hii leo kla mtu ni mjiaji kila mtu anajua kla mtu anachambua na wakat mwingne wanachambua pumba ila inabid tu uishi nao

Dunian wote tunapita ata Yesu mwenyewe alipita ijekua binaadam wa kawaida na haiwezi kutuzuia kumpinga na kumkataa shetani eti kisa tunapita na tutakufa wacha tupambane nae kla mtu kwa nafasi na muda wake

Tupunguze ujuaji na kugoogle ovyo
 
Hilo litawezekana kama upo neutral lakini kama uko wa upande wa unaoamini basi huyo anayeitwa shetani hakupati, unajua ubaya ni nini?, ni kwamba watu wengi Sasa hivi tunajifanya kuwa karibu na muumba wakati huo tuna mambo yetu machafu mengi tunayoyafanya na kuyachukulia kawaida, hivyo huyo shetani huingia Kwa gia hiyo, lazima roho yako iwe safi kweli kwani umezungukwa na mawakala wa huyo shetani Kila unapopita na Hadi unachokula na kugusa, ndio maana watu wengi ni wagonjwa.
 
Naikumbuka sana miaka ya 1990/2000 simu zikikua chache na watumiaji au wamiliki wa internet walikua ni wachache so maisha yalikua mazuri sana ila hii leo kla mtu ni mjiaji kila mtu anajua kla mtu anachambua na wakat mwingne wanachambua pumba ila inabid tu uishi nao

Dunian wote tunapita ata Yesu mwenyewe alipita ijekua binaadam wa kawaida na haiwezi kutuzuia kumpinga na kumkataa shetani eti kisa tunapita na tutakufa wacha tupambane nae kla mtu kwa nafasi na muda wake

Tupunguze ujuaji na kugoogle ovyo
Yesu alijaribu kilichompata mnakijua sasa nyie ushawishi wenu ni upi, ile ni chuma baba pale mmechemsha na atawanyoosha natamani siku moja awafinye korodan, mpaka sahivi hajamfuata mtu kumshuhulikia tangu amalizane na Yesu kwasababu wote waliobakia anawaona kuku flani hivi za kigeni
 
Hilo litawezekana kama upo neutral lakini kama uko wa upande wa unaoamini basi huyo anayeitwa shetani hakupati, unajua ubaya ni nini?, ni kwamba watu wengi Sasa hivi tunajifanya kuwa karibu na muumba wakati huo tuna mambo yetu machafu mengi tunayoyafanya na kuyachukulia kawaida, hivyo huyo shetani huingia Kwa gia hiyo, lazima roho yako iwe safi kweli kwani umezungukwa na mawakala wa huyo shetani Kila unapopita na Hadi unachokula na kugusa, ndio maana watu wengi ni wagonjwa.
Walokole wengi na wafia dini MUNGU akighairi moto wanaleft. Ni waoga wa huo moto wanaotishiwa balaa. Wanapenda zaidi ushetani haswa kitengo cha ngono.
 
Back
Top Bottom