demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ukiangalia kitaalamu na ukadadavua tactically utagundua kuwa washambulizi watatu wote wa Simba ni sawa na Mayele mmoja wa Yanga SC.
Hata ujio wa Chama hautoweza kufua dafu kwa hawa wazee waliozeeka Maini.
Na pia kama Ukilazimisha akili yako iamini kuwa Pablo atamfanya Chama kuwa mhimili wa kiungo cha Simba utapata shida sana na utakuja kuwa dissapointed.
Hata ujio wa Chama hautoweza kufua dafu kwa hawa wazee waliozeeka Maini.
Na pia kama Ukilazimisha akili yako iamini kuwa Pablo atamfanya Chama kuwa mhimili wa kiungo cha Simba utapata shida sana na utakuja kuwa dissapointed.