Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umetumia.piga picha tuoneSuala hapa siyo bei, tunazungumzia ubora Wa bidhaa yenyewe
Bahati mbaya unabishana na mimi kwa kutumia habari na sifa za hii pafyumu kama ulivyoziskia kupitia vyombo vya habari, Kainunue kwanza ndio uje kubishana na mimi
Sawa mkuu kwa bei yake ngoja nisubiri hizo nafasi za watu elfu 10 waliotolewa na Magu zitangazwe nipate hela ninunueTeh teh teh ! Kainunue harafu utakuja kunipa majibu kwenye huu uzi
Hata kama ingenunuliwa mbinguni, kinachozungumziwa hapa haina ubora wowote na hata walionunua no kwa sababu ndio kwana ilikuwa inaingia sokoni na kwa namna ilivyonadiwa watu walijua kweli INA kiwango kumbe Hanna kitu. Nakuhakikishia haitudumu sokoniNikainunue kwanza!!
Hahaha Watu Marekani walisha inunua
mimi Hapa Bongo niwe Bado!!
Punguza Chuki zakijinga
Aliye pewa kapewa tu
Kwa hio wewe ndio huyo hapo umeishika pafyum ya chib?