Sasa hapo ndio umefanya nini? Hii habari bila picha ipuuzwe, bila picha tutakuhesabu katika kundi la haters
Au picha ikiwa inapotea sokoniPiga picha ukiwa umeishika
Ney kuinunua hakuifanyi kuwa na kiwango ndugu kwani haifanyii marekebisho yoyote, itabaki kuwa km ilivyoNibozali watu kama nyinyi wenye roho mbaya na choyo wala hatuwashangai utabak ivo ivo ndugu mwenzio anaendelea na pafyum inauzwa had marekani na ney kanunua we kaaa ivo ivo ushazoea mafuta ya nazi mwehu ww roho mbaya husda zmekujaaa
Imepungua nini ili iwe na quality?Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Ndugu kaa na choyo zako wenzio wanapiga hatua n bora uanze kuuza togwa kujikomboa cku zote kuku wameumbwa kukatsha tamaa watu we bak na ukuku wako diamond ni eagle endelea kuparua jalalani ndo hadh yko[emoji12] [emoji13]Ney kuinunua hakuifanyi kuwa na kiwango ndugu kwani haifanyii marekebisho yoyote, itabaki kuwa km ilivyo
Mm wala siangaikagi na parfumu,kuoga yatosha.hongereni mlio kama Mimi.Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji134]Mi mpaka niisikie harufu yake ndiyo nitajua nzuri au mbaya maana wengine huwa tunapenda hata harufu ya kwapa au hata harufu ya mafuta ya taa