Hpa ulposema na ney kanunua umemaanisha nn mkuu,uyo ney n mdau mkubwa wa perfume au"Nibozali watu kama nyinyi wenye roho mbaya na choyo wala hatuwashangai utabak ivo ivo ndugu mwenzio anaendelea na pafyum inauzwa had marekani na ney kanunua we kaaa ivo ivo ushazoea mafuta ya nazi mwehu ww roho mbaya husda zmekujaaa
Kwani hiyo unayoiona INA tofauti gani na niliyoinunua? Tumia akili
Aifanyie marekebisho kwenye nin mkuu..?Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Siipendagi hii tabia ya kushikiwa akili yani...i feel like throwing!!!Hpa ulposema na ney kanunua umemaanisha nn mkuu,uyo ney n mdau mkubwa wa perfume au"
No ofense'
tunataka apige picha akiwa kaishika mwenyewe sio ujinga wa kumpost diamondKwa hio wewe ndio huyo hapo umeishika pafyum ya chib?
Haya tushaelewa
Inafanya watu wanakua akil tegemez kwa wengneSiipendagi hii tabia ya kushikiwa akili yani...i feel like throwing!!!
Atarud kutujulsha hpa,maana wengne inabd tuulize tu hakna namnaHata mimi nimemshangaa, sijui ney yeye ni malaika au Mungu
kwa hiyo we diamond na pia ni professor jay ama!! acha ukikekike.Kwani unanijua mimi ni nani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Msiongee sana picha hiyo hapo.
View attachment 502469
Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
HAHAHAHHAH,,,,....kweli haina qualityMsiongee sana picha hiyo hapo.
View attachment 502469
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Limited edition[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hiyo ndio orijino hiyo