Ukweli Mchungu: Simba atapigwa nje ndani na Al ahly

Wakipekee

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
6,194
Reaction score
10,711
Siku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito.

Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na waarabu.

Utabiri utakua hivi game ya nyumbani Simba atapigwa 3 na Kule Cairo atapigwa Bao 4 Kwa sufuri hivo atatoka na jumla ya Goli sabaa Kwa NUNGE.

Na akileta ujinga atapigwa tena 5 a.k.a kono la nyani kwani ameshazoea.


 
Ukweli mtam yanga atapigwaa nje , ndani
 
Mkuu haujajitambua kuwa wewe ni sawa na muhasibu kwa kule upande wa pili? Ukiandika uzi lazima uwe kinyume chake, rejea uzi wako dhidi ya Galaxy. Hivyo ni bora ukae tu kimya usubiri mchezo ufanyike. Kazi ya utabiri kwako ni mgumu
 
Naunga mkono hoja
 
Ni kweli hata tukifungwa haitakuwa ajabu ....
Tunasubiri nyie muwatoe mamelods
 
utabiri wako usio wa kizalendo ni mchungu zaid ya ukweli 🐒
 
Utopwinyo atakula 5 home na 7 away
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…