Mkuu haujajitambua kuwa wewe ni sawa na muhasibu kwa kule upande wa pili? Ukiandika uzi lazima uwe kinyume chake, rejea uzi wako dhidi ya Galaxy. Hivyo ni bora ukae tu kimya usubiri mchezo ufanyike. Kazi ya utabiri kwako ni mgumuSiku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito.
Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na waarabu.
Utabiri utakua hivi game ya nyumbani Simba atapigwa 3 na Kule Cairo atapigwa Bao 4 Kwa sufuri hivo atatoka na jumla ya Goli sabaa Kwa NUNGE.
Na akileta ujinga atapigwa tena 5 a.k.a kono la nyani kwani ameshazoea.
Naunga mkono hojaSiku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito.
Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na waarabu.
Utabiri utakua hivi game ya nyumbani Simba atapigwa 3 na Kule Cairo atapigwa Bao 4 Kwa sufuri hivo atatoka na jumla ya Goli sabaa Kwa NUNGE.
Na akileta ujinga atapigwa tena 5 a.k.a kono la nyani kwani ameshazoea.
utabiri wako usio wa kizalendo ni mchungu zaid ya ukweli 🐒Siku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito.
Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na waarabu.
Utabiri utakua hivi game ya nyumbani Simba atapigwa 3 na Kule Cairo atapigwa Bao 4 Kwa sufuri hivo atatoka na jumla ya Goli sabaa Kwa NUNGE.
Na akileta ujinga atapigwa tena 5 a.k.a kono la nyani kwani ameshazoea.
Utopwinyo atakula 5 home na 7 awaySiku kama ya Leo wiki ijayo ndipo kutakapokua vilio na kusaga meno katika dimba la Mkapa kwani Kolozidad atapigwa na kitu kizito.
Baada ya hapo ataenda tena Cairo kufanyiwa mambo mabaya sana na waarabu.
Utabiri utakua hivi game ya nyumbani Simba atapigwa 3 na Kule Cairo atapigwa Bao 4 Kwa sufuri hivo atatoka na jumla ya Goli sabaa Kwa NUNGE.
Na akileta ujinga atapigwa tena 5 a.k.a kono la nyani kwani ameshazoea.