Ukweli Mchungu: Simba atapigwa nje ndani na Al ahly

Kama yanga atakavyobutuliwa ndani nje na katikati dhidi ya Mamelodi makandajiwena ,nimelia sana kwa ukweli huu maana ni vyuma vya kutosha hata Eng .Hersi kakili Makandajiwena wataingia fainali ,kama Raisi kasema mimi mshabiki ni nanii hata nikatae.
 
Mashabiki wengi wa simba wameitelekeza timu yao na kuhamia kwa Mamelodi, kwa lengo la kujifariji iwapo watapata matokeo dhidi ya Yanga.

Maana wanajua fika hawana timu ya kuifunga Al Ahly na ule mpira wao wa papatu papatu.
 
Yanga atashushiwa kipondo hapa hapa kwa Mkapa kule kwa Madiba wanaenda kumkafini tu
 
Mkuu haujajitambua kuwa wewe ni sawa na muhasibu kwa kule upande wa pili? Ukiandika uzi lazima uwe kinyume chake, rejea uzi wako dhidi ya Galaxy. Hivyo ni bora ukae tu kimya usubiri mchezo ufanyike. Kazi ya utabiri kwako ni mgumu
Huyu jamaa ni pacha akee na Labani og, wote ni kula kulala kwa shemeji yao [emoji16]
 
UNATAKA KUSHINDANA NA MUDA?????

Kwanini usisubiri Muda utoe Majibu wenyewe siku ya Ijumaa usiku.????

Mambo mengine hayana haja ya Kuumiza kichwa wala kulialia


FICHA UPUMBAVU.
 
UNATAKA KUSHINDANA NA MUDA?????

Kwanini usisubiri Muda utoe Majibu wenyewe siku ya Ijumaa usiku.????

Mambo mengine hayana haja ya Kuumiza kichwa wala kulialia


FICHA UPUMBAVU.
Tutakutana baada ya game kujua Nani wa kuficha UPUMBAVU
 
 
Mashabiki wengi wa simba wameitelekeza timu yao na kuhamia kwa Mamelodi, kwa lengo la kujifariji iwapo watapata matokeo dhidi ya Yanga.

Maana wanajua fika hawana timu ya kuifunga Al Ahly na ule mpira wao wa papatu papatu.
Tukutane ijumaa jion mwarabu atakandwa 2:0 na simba, jumamosi jioni uto anakandwa 4:1 na sandawana
 
Yanga atapigwa katerero hapa kwa Mkapa kule Sauzi anaenda kukeketwa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…