Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Kwa tofauti kubwa ya kiwango walichoonyesha dhidi ya AS vita na kisha Al Ahly, hawataweza kuwafunga hata hapa nyumbani, watachezea japo sio goli nyingi kama za ugeninu wakijitahidi
Wakienda Algeria watachezea pia, wale Waarabu wamejikusanya vizuri na kutoa draw na AS Vita kwao, na wana chance ya kusonga mbele kuliko hata Simba
Wakiwa Algeria kufa na kupona lazima wataifunga tu Simba
Wakienda Algeria watachezea pia, wale Waarabu wamejikusanya vizuri na kutoa draw na AS Vita kwao, na wana chance ya kusonga mbele kuliko hata Simba
Wakiwa Algeria kufa na kupona lazima wataifunga tu Simba