Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Mechi na Al Ahyl, Simba wanaweza wakashinda au wakapata sare hawatofungwa pale kwa mchina. Kule Algeria nako kuna harufu ya khamsa nyingine. Mechi ya mwisho dhidi ya Vital kwa mchina. Simba akijitahidi saana anaambulia sare tu zaidi ya hapo ni kufungwa.Kwa tofauti kubwa ya kiwango walichoonyesha dhidi ya AS vita na kisha Al Ahly, hawataweza kuwafunga hata hapa nyumbani, watachezea japo sio goli nyingi kama za ugeninu wakijitahidi
Wakienda Algeria watachezea pia, wale Waarabu wamejikusanya vizuri na kutoa draw na AS Vita kwao, na wana chance ya kusonga mbele kuliko hata Simba
Wakiwa Algeria kufa na kupona lazima wataifunga tu Simba
Pumba tupu umeandika sizani hata kama umewahi kucheza sembo (mpira wa makaratasi/Rambo).
.
Al ahly hawezi kushinda Taifa hata kwa dawa ila ni lazima afuzu kwa kuzingatia keshaokota point moja Algeria ana uhakika wa 10Pts.
.
Simba tunapata Tisa zote lakini je tukienda Algeria tutafanywaje? Hili swali majibu yake hayapo kwa sasa
Vita sio Mazembe tambua hilo, na kuhusu kuwa na miili migumu au milaini haitegemei eneo ni mazoezi tu.simba anaweza akamfunga al ahly taifa.... ila hawezi kumfunga as vita.. wacongo wanatufungaga miaka yote popote pale. miili ya wachezaji wao migumu sana...
balaa kubwa lipo kule algeria soura atavyokuwa analipa kisasi... simba kule ndio wapawaze sana.. maana mziki utakuwa mnene sana na sana wa kisasi
Inarudi tanzania kujiandaa na mechi tarehe 12Sjui 5imba inaelekea wapi
[emoji375][emoji375]
HayaInarudi tanzania kujiandaa na mechi tarehe 12
Hawezi kushinda taifa hata kwa dawa?Pumba tupu umeandika sizani hata kama umewahi kucheza sembo (mpira wa makaratasi/Rambo).
.
Al ahly hawezi kushinda Taifa hata kwa dawa ila ni lazima afuzu kwa kuzingatia keshaokota point moja Algeria ana uhakika wa 10Pts.
.
Simba tunapata Tisa zote lakini je tukienda Algeria tutafanywaje? Hili swali majibu yake hayapo kwa sasa