Ukweli Mchungu; Taifa Stars haitofuzu AFCON 2025

Ukweli Mchungu; Taifa Stars haitofuzu AFCON 2025

Wakipekee

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
6,194
Reaction score
10,711
Najua tunapenda sana kudanganyana lakini leo inanibidi niseme tu ukweli nafasi ya Stars kufuzu kwenda Morocco AFCON hapo mwakani ni finyu kwa kifupi haipo maana game zilizobaki yenye nafuu kwetu ni Ile ya Ethiopia ugenini.

Lakini hao wahabeshi walitutoa kamasi hapa nyumbani.

Msimamo ulivo

D.R Congo pts 9
Tanzania pts 4
Guinea pts 3
Ethiopia pts 1

Fixture ijayo Tanzania vs DRC na Guinea vs Ethiopia.

Kama Guinea atashinda kwake dhidi ya Ethiopia basi atakua na points 6.. wakati sisi tutakua na point 4 kama tukipoteza, na points 5 kama tutaambulia sare.

Kumbuka DR Congo anahitaji sare tu Ili kujihakikishia kufuzu kimahesabu japo kiuhalisia ni kama ameshafuzu hivo game bado itakua ngumu sana.

Mechi kati ya DR Congo na Guinea.. wakongo watakua hawana tena cha kupoteza zaidi ya kukamilisha tu ratiba, Ina maana Guinea atakua kwenye nafasi nzuri ya kupata ushindi.

Na kama akishinda ndo basi tena.
 
Najua tunapenda sana kudanganyana lakini leo inanibidi niseme tu ukweli nafasi ya Stars kufuzu kwenda Morocco AFCON hapo mwakani ni finyu kwa kifupi haipo maana game zilizobaki yenye nafuu kwetu ni Ile ya Ethiopia ugenini.

Lakini hao wahabeshi walitutoa kamasi hapa nyumbani.

Msimamo ulivo

D.R Congo pts 9
Tanzania pts 4
Guinea pts 3
Ethiopia pts 1

Fixture ijayo Tanzania vs DRC na Guinea vs Ethiopia.

Kama Guinea atashinda kwake dhidi ya Ethiopia basi atakua na points 6.. wakati sisi tutakua na point 4 kama tukipoteza, na points 5 kama tutaambulia sare.

Kumbuka DR Congo anahitaji sare tu Ili kujihakikishia kufuzu kimahesabu japo kiuhalisia ni kama ameshafuzu hivo game bado itakua ngumu sana.

Mechi kati ya DR Congo na Guinea.. wakongo watakua hawana tena cha kupoteza zaidi ya kukamilisha tu ratiba, Ina maana Guinea atakua kwenye nafasi nzuri ya kupata ushindi.

Na kama akishinda ndo basi tena.
Haya ungepaswa uongee chumbani na Mkeo au Mumeo sio ya kuleta huku
 
Toa ahadi na sehemu ulipo ili Tanzania ikifuzu tukutembelee kwa ajili ya kukusabahi,kupata staftahi na ubwabwa kidogo.Naamini hatutaangalia muvi.
 
Najua tunapenda sana kudanganyana lakini leo inanibidi niseme tu ukweli nafasi ya Stars kufuzu kwenda Morocco AFCON hapo mwakani ni finyu kwa kifupi haipo maana game zilizobaki yenye nafuu kwetu ni Ile ya Ethiopia ugenini.

Lakini hao wahabeshi walitutoa kamasi hapa nyumbani.

Msimamo ulivo

D.R Congo pts 9
Tanzania pts 4
Guinea pts 3
Ethiopia pts 1

Fixture ijayo Tanzania vs DRC na Guinea vs Ethiopia.

Kama Guinea atashinda kwake dhidi ya Ethiopia basi atakua na points 6.. wakati sisi tutakua na point 4 kama tukipoteza, na points 5 kama tutaambulia sare.

Kumbuka DR Congo anahitaji sare tu Ili kujihakikishia kufuzu kimahesabu japo kiuhalisia ni kama ameshafuzu hivo game bado itakua ngumu sana.

Mechi kati ya DR Congo na Guinea.. wakongo watakua hawana tena cha kupoteza zaidi ya kukamilisha tu ratiba, Ina maana Guinea atakua kwenye nafasi nzuri ya kupata ushindi.

Na kama akishinda ndo basi tena.
mie naomba usiku na mchana tufungwe
 
Back
Top Bottom