Ukweli Mchungu: Undumilakuwili wa CHADEMA ni matamko ni mengi kuendana na matukio lakini utekelezaji ni Sifuri

Ukweli Mchungu: Undumilakuwili wa CHADEMA ni matamko ni mengi kuendana na matukio lakini utekelezaji ni Sifuri

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Nimetoka kumsoma mdau mmoja maarufu akihoji juu ya undumilakuwili wa Chadema katika misimamo. Anahoji kuwa Chadema wanahamasisha watanzania tugomee tozo za miamala ya simu kwa kutofanya miamala, may be tutumie njia mbadala. Hili ni wazo zuri kama mgomo. Lakini kiutekelezaji kwa wao ni kinyume chake.

"Pamoja na kutokuwa na akili kwetu na mawazo ya kijinga, huu ni upumbavu uliopitiliza :
->Unaaminisha watu na kuhamasisha wagomee miamala kwa sababu ya tozo
->Halafu unaomba michango ya kufungua kesi itumwe kwenye MPESA kwenye tozo tena kwa namba binafsi.
SISI SIYO WAJINGA HIVYO "



Ilishawahi kuhojiwa hapa pia je msimamo wa kuendelea kufanya Kongamano za katiba nchi nzima alioutangaza Mbowe hata kama watakamatwa na wakamtwe mpaka Mahabusu zijae ulikuwa ni wa chama au wa Mbowe. Kama ni wa Chama mbona baada ya Mbowe kukamatwa tena kwa kesi isiyohusu makusanyiko hayo, na wao wameamua kuachana nayo hayo makongamano?

Hofu yao ni nini wakati wanaona hakuna kesi inayohusu mikusanyiko hiyo inayoweza kupelekwa mahakamani na tanpol wakashinda. Hii ni alama tosha ya UNDUMILAKUWILI wa CHADEMA katika maamuzi yake magumu, wao wanatoa tu matamko kuendana na Move, wakati wa utekelezaji ni Sifuri. Hili ni Tangu enzi za UKUTA mpaka leo hii.
 
Nyie ni Wapuuzi wa mwisho, na ni wajinga kwa kujua na kwa makusudi! Tumia akili kidogo
 
110AF172-1E55-4665-803F-D14161F03043.jpeg


Juzi mlikuja na kampeni ya kususia miamala kua Tozo ni mzigo , leo mnakuja na hili tuchangie nini sijui mahabusu , kwanza umeweka Akaunti ya personal halafu unapitia mgongo wa Chama mnatufanya tuamini sasa mna magaidi hebu rudini mjipange upya vizuri.
 
Hakuna namna inabidi kwanza tuwatoe Mashujaa wetu.
 
View attachment 1889387
Juzi mlikuja na kampeni ya kususia miamala kua Tozo ni mzigo , leo mnakuja na hili tuchangie nini sijui mahabusu , kwanza umeweka Akaunti ya personal halafu unapitia mgongo wa Chama mnatufanya tuamini sasa mna magaidi hebu rudini mjipange upya vizuri.

Acha upumbavu wewe

Umelazimishwa?

Wanaokuibia tozo na makato kwa lazima unawachekea kama juha.
 
Ila apo kwenye personal account....sisi sote ni binadamu tunatabia ya kupiga pesa ata chadema nao ni binadamu🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Ila apo kwenye personal account....sisi sote ni binadamu tunatabia ya kupiga pesa ata chadema nao ni binadamu🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

Isipokuwa wanaowakata makato kwa maandishi tena kwa lazima bila hiari zenu

Hao kwenu nimalaika.
 
Hakuna ubaya kuchangia kama umeguswa, ila hii ya kuwa na personal akaunt kila mmoja anatoa namba yake haileti picha nzuri.
 
Nimetoka kumsoma mdau mmoja maarufu akihoji juu ya undumilakuwili wa Chadema katika misimamo. Anahoji kuwa Chadema wanahamasisha watanzania tugomee tozo za miamala ya simu kwa kutofanya miamala, may be tutumie njia mbadala. Hili ni wazo zuri kama mgomo. Lakini kiutekelezaji kwa wao ni kinyume chake...
CHADEMA NI SAWA NA MZIGO WA MAVI KUUBEBA LAZIMA UKUBALI INZI WAKUFUATE
 
View attachment 1889387

Juzi mlikuja na kampeni ya kususia miamala kua Tozo ni mzigo , leo mnakuja na hili tuchangie nini sijui mahabusu , kwanza umeweka Akaunti ya personal halafu unapitia mgongo wa Chama mnatufanya tuamini sasa mna magaidi hebu rudini mjipange upya vizuri.

Nakumbuka walisema Mahabusu watawasusa hawatawadhamini. Tizama wanachokifanya
 
Walisema pia hawatamuwekea mawakili Mbowe na hataongea lolote polisi hahaha! Now wamemwekea mawakili zaidi ya 10 na kila siku anabwabwaja kwenye vimemo anawachomekea akina Mwamakula Kwenye kanzu
 
Hivi ule mgomo wa kula chakula umeanza? Unaendeleaje?
 
Hivi ule mgomo wa kula chakula umeanza? Unaendeleaje?

Mara wamenyimwa Pedi, Mara sijui mpaka kieleweki, mara watamnyoa nani na wembe, mara ... yaani jamaa wanarukaruka na kila Beat.

Nadhani ACT wametulia sana hawapapariki
 
Back
Top Bottom