Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

Mtu mwenye familia Yake Na civilized hawezi Kua Na mdomo mchafu kiasi hicho! Au malezi pia yanachangia sana kumshape Na kumfanya mtu awe Kama alivyo Ktk Jamii.


Jamii gani??

Maneno machafu unayajua??

Kama unayajua na wewe pia mchafu soma utengeneze maisha yako

Acha kusifia wenzako
 
Mda uliotumia kufikiria na kusndika hii mada umekuletea faida gani ,
 
Empty head, Hopeless. Simple minds discuss people not issues. Achana na superstar wetu Tanzania nzima. Either unakubali au unakataa Diamond Platinum is our number one Bongofleva star in Tanzania, chuki na husuda za wenye WIVU NA UVIVU will never stop Diamond Platinum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…